Tupambanne na propaganda, tueneze elimu ya ukombozi!

Tupambanne na propaganda, tueneze elimu ya ukombozi!

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,931
Baada ya wapinga maendeleo kuona kuwa wale tunaopenda maendeleo ya wananchi wa Tanzania tupo wengi humu jamvini, sasa wanatuita Pro CHADEMA. Nimeipenda hiyo. Mimi ni Pro CHADEMA kwa vile naipenda nchi yangu na napenda Watanzania wenzangu, napenda maendeleo na mabadiliko katika maisha yao.

Nimeanza hivyo kwa sababu tunaoitwa Pro CHADEMA humu jamvini tupo wengi ukilinganisha na wapinga maendeleo wa ccm. Hali hii vilevile inajirudia ukienda kwenye jamii zetu, ambako huko ndio maisha halisi yanatokea. Katika jamii wananchi wanataka mabadiliko, na wako wengi. Hii ina maana kimsingi, kutokana na maisha yao, nao wao pia ni Pro CHADEMA!

Kutokana na wingi wetu huu, kuna haja, hasa sasa hivi,kupambana na propaganda zinazoenezwa dhidi ya wapenda maendeleo. Wakati serikali ya ccm, ikishirikiana na vyombo vya dola inazidi kuikandamiza demokrasia, ni wajibu wa kila mmoja wetu, kwa nafasi aliyo nayo katika jamii kuwaelimisha watu wake juu ya propaganda hizi.

Kwa kutumia njia hii ni hakika kuwa tutashinda, kwa sababu sisi ndio wananchi, sisi ndio tunaolengwa na propaganda hizi, Hata hivyo ni sisi ndio tunaoishi maisha haya ya taabu ya kukosa chakula, ajira, afya, elimu, umeme, maji na mengineyo mengi. Wanaoeneza propaganda hizi wanataka hali hii ya shida kwetu iendelee, wakati wao wana umeme, wana maji, wana afya, wanashiba, wana umeme...wanaishi maisha mazuri.

Tuondoke sasa twende maofisini, mashuleni, mitaani, vijijini na mashambani tuendelee kuelimishana. Baba wa familia ana wajibu huo, mama, mjomba, babu na bibi. Haya tunayoyapigania ni maisha yetu na maisha ya vizazi vyetu vijavyo. ccm wanataka kuendelea kutunyang'anya maisha yetu! TUSIWAKUBALIE!
 
Dingswayo unajua waliiona chadema kama mchicha sasa gafla umekuwa mbuyu sasa hakukaliki, kwanza nisaidieni huyu mzee wasira yuko wapi
 
Wala tusihangaike na propaganda zao,muhimu kwenda vijijini kuwaambia faida za kutawaliwa na chadema kwa kura au mapinduzi
 
Dingswayo unajua waliiona chadema kama mchicha sasa gafla umekuwa mbuyu sasa hakukaliki, kwanza nisaidieni huyu mzee wasira yuko wapi

Chadema udini utatupeleka pabaya jamaa mmoja aliye jiita mchungaji francis alikua akihubili neno la MUNGU juzi mtaani kwetu huku akiwa amevaa magwanda ya chadema.Hivi kweli hii inaleta picha gani? kwa watu watu wa dini nyengine nilazima tufikilie tunakwenda wapi? na kwa muda gani,tatizo tunaona kama chadema ni mkombozi kwa wakristo matokeo yake kila alie mkristo anashabikia chadema ukimuuliza sababu hana hoja ya kujibu. Kwahili ni vigumu sana kwa chadema mwaka 2015 kuchukua nchi kwasababu kwa hali hii itasababisha wenzetu waislam na wenye mapenzi na chadema kukihama chama na ukweli ni kwamba asilimia 90 ya waislam wameshaihama chadema jaman fikilien kwanza wapi wapi ilipo CUF iliyokua tishio kwa CCM.Chama hicho kilionekana ni cha kidini hatakama viongoz wake wanasela matokeo yake kikapigwa chini nyinyi wenyewe ni mashahidi angalien mikoa chadema inakubalika ni mingapi kama si KILIMANJARO,ARUSHA,IRINGA,MBEYA NA MANYARA.Hivi kwa hili kweli kunamikakati kweli ya kuchukua nchi 2015? kwa hili inabidi chadema ijipange tena .Ikiendelea kua hivi ni wazi wanachama wa CUF watamuunga mkono mgombea wa ccm mwaka 2015 na chadema watabaki kusema kwamba wanaibiwa kura hakuna cha propaganda hapa tembeeni mikoan muone ni wapi ccm inakubalika kuliko kuangalia mikoa hiyo 5 then useme tutachukua nchi 2015.
 
Chadema udini utatupeleka pabaya jamaa mmoja aliye jiita mchungaji francis alikua akihubili neno la MUNGU juzi mtaani kwetu huku akiwa amevaa magwanda ya chadema.Hivi kweli hii inaleta picha gani? kwa watu watu wa dini nyengine nilazima tufikilie tunakwenda wapi? na kwa muda gani,tatizo tunaona kama chadema ni mkombozi kwa wakristo matokeo yake kila alie mkristo anashabikia chadema ukimuuliza sababu hana hoja ya kujibu. Kwahili ni vigumu sana kwa chadema mwaka 2015 kuchukua nchi kwasababu kwa hali hii itasababisha wenzetu waislam na wenye mapenzi na chadema kukihama chama na ukweli ni kwamba asilimia 90 ya waislam wameshaihama chadema jaman fikilien kwanza wapi wapi ilipo CUF iliyokua tishio kwa CCM.Chama hicho kilionekana ni cha kidini hatakama viongoz wake wanasela matokeo yake kikapigwa chini nyinyi wenyewe ni mashahidi angalien mikoa chadema inakubalika ni mingapi kama si KILIMANJARO,ARUSHA,IRINGA,MBEYA NA MANYARA.Hivi kwa hili kweli kunamikakati kweli ya kuchukua nchi 2015? kwa hili inabidi chadema ijipange tena .Ikiendelea kua hivi ni wazi wanachama wa CUF watamuunga mkono mgombea wa ccm mwaka 2015 na chadema watabaki kusema kwamba wanaibiwa kura hakuna cha propaganda hapa tembeeni mikoan muone ni wapi ccm inakubalika kuliko kuangalia mikoa hiyo 5 then useme tutachukua nchi 2015.
ukiua CHADEMA basi yale ya fedha za uswiss yatatokea nchini na wewe wala hutang'amua kamwe. bora uwaache chedema na watu wajue nini kibaya kinaendelea nyuma ya pazia. Uopinzani ni mzuri sana katika kujenga uchumi.
 
Baada ya wapinga maendeleo kuona kuwa wale tunaopenda maendeleo ya wananchi wa Tanzania tupo wengi humu jamvini, sasa wanatuita Pro CHADEMA. Nimeipenda hiyo. Mimi ni Pro CHADEMA kwa vile naipenda nchi yangu na napenda Watanzania wenzangu, napenda maendeleo na mabadiliko katika maisha yao.

Nimeanza hivyo kwa sababu tunaoitwa Pro CHADEMA humu jamvini tupo wengi ukilinganisha na wapinga maendeleo wa ccm. Hali hii vilevile inajirudia ukienda kwenye jamii zetu, ambako huko ndio maisha halisi yanatokea. Katika jamii wananchi wanataka mabadiliko, na wako wengi. Hii ina maana kimsingi, kutokana na maisha yao, nao wao pia ni Pro CHADEMA!

Kutokana na wingi wetu huu, kuna haja, hasa sasa hivi,kupambana na propaganda zinazoenezwa dhidi ya wapenda maendeleo. Wakati serikali ya ccm, ikishirikiana na vyombo vya dola inazidi kuikandamiza demokrasia, ni wajibu wa kila mmoja wetu, kwa nafasi aliyo nayo katika jamii kuwaelimisha watu wake juu ya propaganda hizi.

Kwa kutumia njia hii ni hakika kuwa tutashinda, kwa sababu sisi ndio wananchi, sisi ndio tunaolengwa na propaganda hizi, Hata hivyo ni sisi ndio tunaoishi maisha haya ya taabu ya kukosa chakula, ajira, afya, elimu, umeme, maji na mengineyo mengi. Wanaoeneza propaganda hizi wanataka hali hii ya shida kwetu iendelee, wakati wao wana umeme, wana maji, wana afya, wanashiba, wana umeme...wanaishi maisha mazuri.

Tuondoke sasa twende maofisini,shuleni, mitaani, vijijini na mashambani tuendelee kuelimishana. Baba wa familia ana wajibu huo, mama, mjomba, babu na bibi. Haya tunayoyapigania ni maisha yetu na maisha ya vizazi vyetu vijavyo. ccm wanataka kuendelea kutunyang'anya maisha yetu! TUSIWAKUBALIE!
Eeeeee!Disco limeingia masai lubega,mkuki na fimbo begani,mbaya zaidi hajui lugha zaidi ya kimasai yaani ni shuuughuulii.
 
Chadema udini utatupeleka pabaya jamaa mmoja aliye jiita mchungaji francis alikua akihubili neno la MUNGU juzi mtaani kwetu huku akiwa amevaa magwanda ya chadema.Hivi kweli hii inaleta picha gani? kwa watu watu wa dini nyengine nilazima tufikilie tunakwenda wapi? na kwa muda gani,tatizo tunaona kama chadema ni mkombozi kwa wakristo matokeo yake kila alie mkristo anashabikia chadema ukimuuliza sababu hana hoja ya kujibu. Kwahili ni vigumu sana kwa chadema mwaka 2015 kuchukua nchi kwasababu kwa hali hii itasababisha wenzetu waislam na wenye mapenzi na chadema kukihama chama na ukweli ni kwamba asilimia 90 ya waislam wameshaihama chadema jaman fikilien kwanza wapi wapi ilipo CUF iliyokua tishio kwa CCM.Chama hicho kilionekana ni cha kidini hatakama viongoz wake wanasela matokeo yake kikapigwa chini nyinyi wenyewe ni mashahidi angalien mikoa chadema inakubalika ni mingapi kama si KILIMANJARO,ARUSHA,IRINGA,MBEYA NA MANYARA.Hivi kwa hili kweli kunamikakati kweli ya kuchukua nchi 2015? kwa hili inabidi chadema ijipange tena .Ikiendelea kua hivi ni wazi wanachama wa CUF watamuunga mkono mgombea wa ccm mwaka 2015 na chadema watabaki kusema kwamba wanaibiwa kura hakuna cha propaganda hapa tembeeni mikoan muone ni wapi ccm inakubalika kuliko kuangalia mikoa hiyo 5 then useme tutachukua nchi 2015.
Vipi mbona mguu ndani nje???Ni kweli kuna mapungufu yanayostahil kufanyiwa kazi lakini weye umepotosha zaidi.Ni kweli wapo waumini waliokubali kulishwa propaganda ya udini kwenye bongo zao na kukiamini chama iwe CUF au CHADEMA NA KUJIKUTA WAKITETEA CHAMA KWA KUAMINI KINAHUSIANA NA IMANI YA DINI YAKE,LAKINI HILO NI KOSA WANALOPASWA VIONGOZI WA VYAMA HIVI VIWILI(CUF,CHADEMA)KUWAELIMISHA WANACHAMA NA WAFUASI WAO WAELEWE HIYO NI PROPAGANDA CHAFU WALIYOTUPIWA NA WALAFI WA MADARAKA,HIVYO WAIEPUKESIO KUSEMA ETI KUNDI LINGINE LITAMPIGIA MGOMBEA WA CCM.,KOSA HILO LILIFANYIKA 2010.) HALITAKIWI LIJIRUDIE,MPINZANI WA KWELI KWA TAIFA LINALOANGAMIZWA NA WATAWALA KAMA HILI LA KWETU KUMPA MTAWALA KURA YA HASIRA KWA KUSHINDWA KUCHAGUA AHUENI NI DHAMBI NA ANAYEFANYA KOSA HILO KWA KUJIRUDIARUDIA SIYO MWANAMABADILIKO WA KWELI HUYO NI KANJANJA(kanjaanjaa)TU ASIYEJITAMBUA kwani shida,dhahma,shuruba,manyanyaso yote twapata sote haijalishi uwe police au msukuma mkokoteni,uwe MUISLAM au pagani na hata MKIRSTO,ukiwa cuf,tlp,chadema,nccr na hata ccm sio dawa,FIMBO ZA MAISHA MABOVU NA YA KIDHALILI TWALA SOTE.Kwani kuna sehemu za manunuzi enye nafuu zilizotengwa kwa watu ccm?????
 
Back
Top Bottom