Recent content by Mr. Teacher

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ruhusa ya kwenda kusoma.

    Hizo ni tetesi za mtaani, zipuuze; wewe nenda shule na haki zako utapata kwa mujibu wa standing order kama kawaida
  2. M

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Hii Ndio Demokrasia ya Uganda Mikwaju kwa raia

    Hawa- reason
  3. M

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Hii Ndio Demokrasia ya Uganda Mikwaju kwa raia

    Hawa Polisi wa Uganda ni hopeless kbs
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wanachuo vihiyo wasio na sifa walio vyuoni kuondolewa mwezi ujao

    Thanks. Kiongozi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wanachuo vihiyo wasio na sifa walio vyuoni kuondolewa mwezi ujao

    Naunga mkono wazo la kuondoa wanafunz walio vyuoni but hawana sifa stahiki, ila angalizo, kuna watu humu wanachangia kiushabiki bila kuangalia uzito wa hoja wanazotoa, kama mtu ameelimika kweli atachangia kwa hoja na si ushabiki. 1. Prof. Ndalichako anaposema wasio na sifa, au kama anamaanisha...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ripoti: 61% ya Wahitimu wa vyuo vikuu wana uwezo mdogo kimaarifa

    Hili ni janga kubwa sana, na kuna ukweli Mkubwa ndani yake
  7. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbadala kwa wenye GPA ya 3.4 kushuka chini katika Diploma Level

    Namna ya kuomba haipoishani sana, ukiingia CAS ya TCU utaona, au wakati wa kutuma maombi TCU huwa wanatoa maelekezo namna ya kuomba
  8. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbadala kwa wenye GPA ya 3.4 kushuka chini katika Diploma Level

    Ni kirefu cha Recognition of Prior Learning. Ni mfumo uliokuja badala ya Mature Age Entry Examination. Mfumo huu unataka mtu mwenye ujuzi Fulani na uzoefu lakini hana sifa za moja kwa moja kuingia university, let say kwa sasa mtu mwenye Diploma na GPA ya chini ya 3.5 then unafanya huo !mtihani...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbadala kwa wenye GPA ya 3.4 kushuka chini katika Diploma Level

    Hujaelewa, sio huruhusiwi, wanataka mwenye kuanzia miaka 25 na kuendelea, ikimaanisha kuwa tyr utakuwa na uzoefu ktk hiyo field yako
  10. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbadala kwa wenye GPA ya 3.4 kushuka chini katika Diploma Level

    Pitia hiyo attachment labda itakusaidia kdg
  11. M

    JamiiForums Tanzania Je kuna umuhimu wa kusoma A- level kama foundation course iko hivi?

    Kwa ilivyo sasa Foundation Course kama entry ya University Education imepigwa stop na TCU, labda kama TCU watawakubalia OUT maombi yao
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je kuna umuhimu wa kusoma A- level kama foundation course iko hivi?

    Usipotoshe umma, Mature Entry ipo, ila ilibadilishwa jina inaitwa RPL siku hizi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbadala kwa wenye GPA ya 3.4 kushuka chini katika Diploma Level

    Swali lako na hoja yako ni ya muhim sana ndugu, kuna changamoto kubwa kwa hizo kozi ambazo hazipo!! So, let's hope solution itapatikana pia
Back
Top Bottom