Dogo anajisifu sana huo ndo ukweli,,,, wenzake messi na ronaldo wamekaa kwenye gem kwa mda mrefu lakin huwez kuta wana toa kaul za ajabu,,ajiangalie madogo weng walianza kaa yeye lkin wamepotea aache kauli za kitoto over
Hizi za kulipia ni nzuri kama una uhitaji na channel za azam sport,,,,ila kama unataka app ya mpira wa ulaya bas app ya cricfy tv ina channel zote za mpra kama super sport ,,bein sport,TNt sport na nyingne nying na zote ni HD na ni bure kabsa
Yeah si unaskia tim nzima wenye akil ni wawil,,yalkuwa yamejazwa upepo eti wanaenda kukaa juu ya simba na yenyewe bila kujielewa yapo yana shout ju kama mang'ombe 😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.