Recent content by Mr RoundAbout

  1. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uchaguzi wa kanda CHADEMA, wajue waliofanikiwa kupenya

    Kajifunze kwanza kuandika taarifa Kwa ustadi mzuri
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nini umuhimu wa ziara ya Rais Samia Ufaransa?

    Shida ya umaskini na kukosa mikakati ya kujitegemea, Samia hana jipya
  3. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

    Wafe kabisa hatutaki hata kuwasikia
  4. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kugawanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

    CCM imeshaexpire
  5. M

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Jamaa hana shida na mtu, ukimpa kazi basi jua atakufanyia hiyo kazi vzr kabisa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ziara Viongozi wa CCM yakosa mvuto

    Wajamvi, Mpaka sasa Viongozi wa CCM wana ziara mikoani Kwa Viki nzima Sasa. Lakini kinachoonekana ziara hii imekosa mvuto na haina utuatiliwaji wa kina na haina mvuto.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Ninawajua wanaowalipa vijana kuwatukana viongozi mitandaoni, wakiendelea nitawataja

    Rais wa Tanzania mhe SSH, ki ukweli hana shida kabisa. Shida ipo Kwa mawaziri ambao aliwaamini na kiwapa nguvu ya kumsaidia pasipo kujua kuwa wao wenyewe wanauta Urais alionao. Na hili tumelibaini baada ya RC Arusha kuibua taharuki ambayo hata mm sikuamini kama no kweli. Kumbe lisemwalo lipo...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Pasco unaijua nguvu ya Twitter?

    Haina haja, wameshajitaja wenyewe Kwa kauli zao. Konda boy OYEEEEE......
  9. M

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Muacheni Makonda, tujadili Hali ngumu ya maisha ya watanzania
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Lulu Ibrahim, Miss Kinondoni 2009 na aligombea Miss Tanzania 2009?

    Sisi hapa hatutafuti mamiss, tunapambania maisha ya watanzania
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa Maisha wasababisha Wananchi kununua Utumbo badala ya Nyama , Sikukuu ya Idd Yadorola

    Kazi zenyewe ziko wapi? Acha uongo, walioko madarakani wameshindwa kubuni miradi ambayo itatoa ajira Kwa vijana.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa Maisha wasababisha Wananchi kununua Utumbo badala ya Nyama , Sikukuu ya Idd Yadorola

    Ni kweli kabisa, tanzania imekua Nchi ya matabaka
  13. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza TISS ivunjwe, iundwe Upya

    Bora ijulikane ni fisiemu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza TISS ivunjwe, iundwe Upya

    Ni Bora ya jeshi la polisi kuliko hao watu, ni watu wanaotumika kukomoa watu tu, hawana jipya lolote. Shame on them
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mungu ana makusudi na Makonda na kuna mahali anataka kumfikisha

    Kwasababu umemtaja Mungu Mimi siwezi kukubali au kubisha, maana emesema na wewe.......
Back
Top Bottom