Recent content by Mr Raymond

  1. M

    Ushuhuda : Nilipotea njia na kuingia chumba cha majini

    Huyo anataka kuwa famous tu kama Messi amna ushuda wala nin ushuuda unatolewa kwenye blog au kanisani
  2. M

    Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

    Sasa mim nashangaa sanaa yaani viongozi me naona wana ulemavu wa akili kabisa Sasa serikali moja tu yenyewe watu bado maskini shida nyingi tu Na bado serikali hii hii moja bado inakopa nchi za njee alfu piga total ya ela ya bungeni inavyolipwa kwa viongozi Sasa je serikali tatu za nini mnataka...
  3. M

    Marry in haste

    Tatizo isia kali kama za kuku ndio maana saivi sisi wanasayansi saivi tumeona bora tutafute dawa ya isia kwanza badala ya ukimwi
  4. M

    National housing mitaa ya Samora

    Aisee hii ni sawa sawa na ndege hilipotea alf unasema umeipata
  5. M

    Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

    Aah! Sasa kama ndio hivyo wazazi wako nao wangeamua kuto kuwaza kujenga nyumba haraka na kununua gari we mtoto sio ungekuwa mtoto wa mtaan tu au msichana siungeanza kushobokea wanaume kisa magar. Bora uvizoee toka mdogo ukubwani usishangae na kuwa na tamaa. Born stunna, stuntin' like my daddy
Back
Top Bottom