Hakika katika hili la kuwasamehe na kuwapunguzia adhabu wafungwa kwa Kiwango ambacho hakijawahi kutokea imethibitisha kuwa rais wetu yupo kwa ajili ya Maslahi Ya watu wengi na pia Ana hofu Ya MUNGU sana. Huyu rais inaonekana watu mwanzoni hawakuelewa falsafa yake. Sasa imeanza kusomeka miongoni...
Kila kukicha gazeti la Uhuru utasikia inaandika mara Lowassa hivi mara vile.... kisa tu kahama chama. Kwani mbona kama wamepoteza dira kumdiscuss EL badala ya kuandika mambo ya mgombea wao tingatinga Magufuli.
Nahisi wanaogopa sana nyota ya EL inatisha. ccm hapa inaonekana inamuogopa EL tena...
Kila kukicha gazeti la Uhuru utasikia inaandika mara Lowassa hivi mara vile.... kisa tu kahama chama. Kwani mbona kama wamepoteza dira kumdiscuss EL badala ya kuandika mambo ya mgombea wao tingatinga Magufuli.
Nahisi wanaogopa sana nyota ya EL inatisha. CCM hapa inaonekana inamuogopa EL tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.