Familia Ili iweje Sasa? Kuna aina za familia pia ambazo sio lazima uwe umeoa au kuolewa na ukawa na familia Kwa nijuavyo mtoto na baba/mama pia ni familia Sasa sijui una maanisha nini?
Kwa trends ya mambo yanayoendelea yupi Anahitaji zaidi ndoa kati ya jinsia Mwanamke na jinsia Mwanaume kutokana na kuingia na mambo ya usawa wa kijinsia na uwepo wa tamaduni zetu za kiafrika yupi Anahitaji zaidi ya mwenzake wa kuipata ndoa yupi ana manufaa zaidi ya hiyo ndoa?
Kaka nilikuwa na MILIONI 14 nikapata partnership na jamaa. Zangu wawili wao waliweka pesa zaidi yangu ila baada ya miaka 7 ya biashara Kwa bahati mbaya mmoja wa partners alifariki Familia ya marehemu ilihitaji pesa yote iliyomuhusu marehemu walipewa mwingine baadae alihitaji kufanya biashara...
Hili suala la p Diddy na kesi zake binafsi nimekataa kulichukulia kama wengi wanavyofikili
Ukiangalia Taifa kama USA ( MAREKANI) Nchi ambayo inaruhusu ndoa ya jinsia Moja kivipi Leo iwe kosa Kwa DIDY kuwatembelea kinyume na maumbile wanaume wenzie Yani Leo Diddy amegeuzwa kama Njia ya...
Kwamba YouTube inahitaji namba kwamba Whatsapp ni lazima line iwe kwenye hicho hicho kifaa Kwamba msimbo hauwezi kutumwa Ikiwa line IPO kwenye simu nyingine? ELIMU ya wapi hii Mzee unataka kutufundisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.