Recent content by Mr. Nice Guy

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hahahaha..bet imekuwa ngumu zaidi ya jiwe
  2. M

    Magufuli ataweza kuwaletea waislam mahakama ya kadhi?

    Magufuli asipoahidi mahakama ya kadhi waislam hatumpi kura
  3. M

    Mauaji ya Polisi na raia Stakishari, Polisi fanyeni haya kuwapata wauaji

    Mawazo yako ni mazuri,, kuna kitu haujakitolea ufafanuzi, ni kuhusu askari wa hapo kituoni kuhusika
  4. M

    Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

    teh teh teh hii comment imenichekesha sana
  5. M

    Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

    Dira yake ni kujenga flyover mpaka vijijini
  6. M

    Kijana, Magufuli wala UKAWA sio msaada Usipojiongeza mwenyewe

    Jembe magufuli likiingia Ikulu vijana wote wataajiriwa,, yaani itakuwa ni kula bata tu
  7. M

    Magufuli ataweza kuwaletea waislam mahakama ya kadhi?

    tunataka mahakama ya kadhi,baraza la mawaziri lenye waislam idadi sawa na wakristo
  8. M

    Rais Kikwete aenda Uswisi

    jk ni muhujumu uchumi
  9. M

    Rais Kikwete aenda Uswisi

    Jk dhambi ya usaliti inamtafuna
  10. M

    Njama za CCM kumuweka Kizuizini Lowassa zaiva!

    Popote lowasa atakapoenda tutaenda nae.. Nilishangaa sana iweje awe kimya muda wote huo,, Sasa nimejua sababu,, Thanx yericko
  11. M

    Kuna Watu Donge linawakaba kwa hii Picha!

    Kwa hiyo tufanyaje kama wako pamoja?
Back
Top Bottom