Huko kigoma kuna familia tajiri ya KASAMBALA hii familia ipo toka miaka ya 800 huko hawa ndo wamiliki halali wa kampuni za usafirishaji wa abiria saratoga,nbs,adventure and yehovayire pia wana hisa mwenye kampuni kubwa tz kama vile bakhresa group,metl group,synarge group,lake oil group,oil com...