Recent content by Mr Musoma Boy

  1. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Kufungua kituo cha radio kinagharimu kiasi gani?

    Endapo gharama ikiwa kubwa ni lazma iwe kubwa but unaweza ukaanza online media ambapo unanunua u tube channel yny subscribes wengi then unaanzia huko huku ukipima upepo wa radio.
  2. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Kufungua kituo cha radio kinagharimu kiasi gani?

    Kwa uzoefu wangu ili upate Vijana wa hiyo tasnia ebu jilink na vyuo vya uandishi wa Habari. Hata hiyo 150 Vijana wanachukua tu nilifanya kazi media flan nikawa nalipwa hiyo pesa.
  3. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Tabia halisi za wanaume wa Musoma katika mahusiano

    Acha kupotosha Umma, Kuhusu Wanawake kuthamini kipigo Kama njia ya upendo huu Ni uongo mkubwa. Tutajie mikoa ambayo haina limbukeni wa mapenzi. Tusaidie tofaut Kati ya wivu na wivu wa kijinga. Nb:Kuhonga Ni sehemu ya maisha Kwenye mahusiano Sasa sijui Vijana wenu wa Dar wanao honga mademu kila...
  4. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Tabia halisi za wanaume wa Musoma katika mahusiano

    Thibitisha.
  5. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asiyemtuza mtoto wake ni mwanaume mjinga

    Kama hili halijakukuta kaa kimya au lifanyie utafiti utajua vzr maana mwanaume anaweza kuamua tu kuacha kutoa matunzo kwa hiari yake(Tabia yake) lakini mwanaume anaweza kuamua tu kuacha kutoa matunzo kwa sababu ya Tabia za mwanamke mfno Wanawake weng kwny hili wanapenda kuomba matumizi kwa...
  6. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

    Nadhan hii muvi haina uongo kivlee icpokuwa Ni ufundi tu pia umesema baadhi ya matukio ya kwny Ile ambyo Ni ya uongo ukiweza Rudi Tena kaiangalie Ile muvi then uje tujadili, Mfno Yule rubani alishambuliwa kwa risasi b4 ndege kuanguka. Wakati Sisu amenyongwa aligeza ule ubao ikainama then...
  7. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Dondosha series nzuri zinazohusu uchawi

    See no evil,the witch,Sandman,Gu family book,devil conspiracy,Mirror,teen Wolf na nk Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

    Kwny hiyo list wafuatao n mhm kuwepo Pastor Munishi, Jennifer Mgendi, Emmanuel Mgogo Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Uzi huu nitakuwa naelezea movie zote nitakazotazama mwaka huu 2023 hili kuwapa watu motisha

    Kuna hii movie ya kikorea Project wolf hunting Ni balaa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara gani ya kufanya kwa mtaji wa Tsh milioni 2

    Mchawi location tu
  11. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara gani ya kufanya kwa mtaji wa Tsh milioni 2

    Shukrani bro Nimewaza khs kufungua goli ya dagaa But ukiachana na dagaa Kuna fursa gan zngne huko kaka, Asante
  12. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara gani ya kufanya kwa mtaji wa Tsh milioni 2

    Naomba uzoefu na maisha ya Mpanda Katavi hasa fursa na nk Asante
  13. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania Oya ndugu zangu tupeane dili za kuingiza pesa

    Mkoa gan huo bro na soko lake lipo vp?
  14. Mr Musoma Boy

    JamiiForums Tanzania 𝗜𝗻𝗮𝘁𝗼𝘀𝗵𝗮!!!

    Nadhani Hilo Ni kundi Bora kabisa pia mfumo wa maisha yao unaonyesha Wana mishe nyng za pesa nje ya muziki ndo maana ni kama wanafanya mziki wamerelax c kwa ajili ya mziki kuwapa kipato Kama ilivyo kwa wasanii wengne tz.
Back
Top Bottom