Wale wanayo pesa ndefu ila mziki wao mi mob watu wanasema ni uzungu ila hawajui wale mziki wao ni kama watu Jamaica angalia zile switching zao za kuchanganya sauti yaani unaweza kusema wapo wengi wapo wawili hata beat zao ndo maana bongo wanadunda hata marekani hakuna mziki wa vile🤣🤣.Mimi naona wakati wao wakufanyia mziki umeisha Kuna kipindi walianzisha baby products za Goldie at least wangekomaa na biashara jua limeshazama