Recent content by Mr Mlay

  1. M

    Majipu Matatu "Yaliyoiva" Kwenye Baraza la Mawaziri

    Wataisha wote hakuna msafi huko,hata bwana mkubwa naye kashfa ziko ila nani atamfunga paka kengele?
  2. M

    UKAWA Waitwa kwa Meseji

    Huyo mama awe makini sana!asicheze na maisha ya watu,kwa kuendeshwa kama remote na chama tawala miccm
  3. M

    Tujiandae kupata siri juu ya tuhuma za wizi wa kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita

    Bwana february anajua mchakato wote wa uchaguzi?
  4. M

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Ccm wote ni sawa na mashetani,hata umchukue malaika umweke ndani ya ccm mda wa mwezi mmoja anabadilika na kuwa shetani,wote sasa washabadilika wako wengi ndani ya ccm
  5. M

    Maazimio ya KK ya Chadema hayajajibu kiu ya wanachama wake!

    Tangia lini kada wa chama cha mbogamboga akakitakia mema chadema?
  6. M

    Maazimio ya KK ya Chadema hayajajibu kiu ya wanachama wake!

    Tangia lini likada la Ccm likaitakia mema chadema?
  7. M

    Hali ya sintofahamu Bungeni: Polisi waingilia kati, Wabunge wa Upinzani watolewa nje

    Wanataka kuwanyima wanaichi elimu na kuzuia wanainchi wasione jinsi wanavyotumbuliwa majipu na UKAWA
  8. M

    Eneo la mifugo zaidi ya heka 150 lauzwa kinyemela

    Eneo hilo liko maeneo ya Moshi, jimbo la vunjo kwenye kata ya Kahe,Vielelezo vyote vinaonyesha hilo ni eneo la wazi ambalo walipewa kijiji kama eneo la mifugo, kulitokea watu wachache wakishirikiana na uongozi wa kijiji cha Ngasinyi kuuza eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 150 bila hata...
  9. M

    Kubenea ampa onyo kali Nape

    nenda kwenye hoja mkuu
  10. M

    Kubenea ampa onyo kali Nape

    Serikali hii ya Tanzania inavunja record dunia nzima kwa kutaka kusifiwa tuu na vyombo vya habari!viongozi wengi ambao sio waadilifu hawataki vyombo vya habari vifichue maovu yao,hivi tutafika kweli?mbona inchi zingine hazifanyi ivyo?yani kiongozi anataka aibe mali za watanzania mwandishi...
  11. M

    Maofisa wa Polisi watinga ofisi za gazeti la Mawio mchana huu

    Dhamana ni haki ya msingi kupata mhalifu yeyote akitimiza masharti!sasa hapa kama wamenyimwa dhamana ni masharti gani ya dhamana walishindwa kutimiza?
Back
Top Bottom