Recent content by Mr mgeni

  1. Mr mgeni

    Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

    Mshkaji wako alikua na nyege alafu naona ulikua unambania akitaka mambo unamuambia umechoka si ndo zenu.Bimkubwa nae hana uchoyo alikua anakusaidia usikasirike msamehe muendelee na maisha
  2. Mr mgeni

    Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

    Kuna baadhi ya vyakula unapashwa usivitumie
  3. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Ndo unapiga vijembe au?
  4. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Kwangu hakukosa chochote ,umasikini katoka nao kwao
  5. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Kinachouma nini unajua,utakuta mtu umemchukua yupo kama moja imagine then anondoka ana 8 utajiskiaje
  6. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Hatuwezi Kua kina Dangote wote lazima wengine tuwe chini ili heshima katika maisha iwepo
  7. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Kasafiria nyota..ila fresh tu
  8. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Nikumtakia tu kila la heri
  9. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Sio roho mbaya..Alitaka atembelee nyota yangu tu na kafanikisha
  10. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Sik Sikumuombea mabaya...ni katika hali ya kuwekana sawa kitabia
  11. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Nilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma. Poa bwana ila freshi tu yote maisha.
Back
Top Bottom