kwa binti mrembo miaka 19 hadi 23 awe tayari kuishi swazland,, si mimi ni jamaa yangu anataka kuoa mtanzania. kama upo tayari nicheck ktk namba 0673391036
Wadau naomba kuuliza, kwasasa nipo mwaka wa kwanza open university nasoma,
ba-natural resource assessment and management (ba-nram)
naomba kujua kwa wajuzi nikiomba mkopo kwa mwaka wa pili kwa programme hii nwaeza kupata?
Mimi ni mwalimu idara ya msingi nipo wilaya ya Geita, natafuta mwl wa kubadilishana nae aliyopo morogoro, iringa au Pwani.Kwa aliye tayari ani-inbox.
KARIBUNI.
Mke wangu anasumbuliwa na mgongo sehemu ya kati {uti wa mgongo}
HISTORIA YA MGONJWA;
Tatizo lilianza kwa maumivu kiasi lakini lilianza kuwa kubwa alipopata ujauzito na kadri ujauzito ulipokuwa mkubwa maumivu pia yalimzidi mpaka alipojifungua,toka alipojifungua maumivu bado yanamsumbua.Tulienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.