Recent content by Mr. Mapokeo

  1. M

    Uwanja wa kimataifa wa ndege wa Kigali watajwa miongoni mwa 7 bora Afrika.

    Tanzania yenyewe naona niyakwanza kusafirisha wanyama hai pamoja na madini yetu lakini sio maendeleo
  2. M

    …..G LEMA - Mwamba wa Kaskazini watuwa Kalenga kumalizia KAZI !!!!

    Hao hawajui wakita waulize arusha
  3. M

    African Beauty!

    Usipime waliozoea kuiga hawatakawia kuiga
  4. M

    African Beauty!

    Mambo vipi wakuu
  5. M

    Nape na CCM ni vema mkayafikiria kwanza haya kabla ya kuyaongea mnayoyaongea sasa

    One day ccm out wanaojua kuwa taifa lao linaliwa na watu wachache iweni chachu ya kuleta mapinduzi ya kisiasa na maendeo kwa umma
  6. M

    Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

    Nyie mnaosema mnaushahidi wa kujitosheleza nivyema Kuwa waungwana nendeni polisi na huo ushahidi/vielelezo we nu acheni mbwembwe na kelele zenu za vyura zisizoweza mzuia.tembo kunywa maji
  7. M

    jumuia ya Waislam jijini Arusha yatangaza vita na mkurugenzi wa jiji

    MTU akisha kufa na historia imekwisha kupita Haina maana kulilia waliokwisha kufa
  8. M

    jumuia ya Waislam jijini Arusha yatangaza vita na mkurugenzi wa jiji

    Tumaini langu nikwamba tuwe na jamii inayo pendana nasiyo kuchukiana Tanzania yetu ni moja watoto wa baba mmoja kinachotakiwa ni ushauri kwa yule anayekosea ajue Kuwa anafanya makosa na si vinginevyo.
  9. M

    jumuia ya Waislam jijini Arusha yatangaza vita na mkurugenzi wa jiji

    Acheni lugha za uchochezi kinachotakiwa kuhusu hayo makaburi ni serikali ikae na wamiliki waeneo kisha wapate mwafaka, Sasa nyie mnatumia mtandao kutishiana nakuonyeshana ubabe wa kuandika sana mitandaoni, mara lema ndiye kaleta hoja ya machinga complex inawezekana kasema lakini je; mmesha...
Back
Top Bottom