Nyie mnaosema mnaushahidi wa kujitosheleza nivyema Kuwa waungwana nendeni polisi na huo ushahidi/vielelezo we nu acheni mbwembwe na kelele zenu za vyura zisizoweza mzuia.tembo kunywa maji
Tumaini langu nikwamba tuwe na jamii inayo pendana nasiyo kuchukiana Tanzania yetu ni moja watoto wa baba mmoja kinachotakiwa ni ushauri kwa yule anayekosea ajue Kuwa anafanya makosa na si vinginevyo.
Acheni lugha za uchochezi kinachotakiwa kuhusu hayo makaburi ni serikali ikae na wamiliki waeneo kisha wapate mwafaka, Sasa nyie mnatumia mtandao kutishiana nakuonyeshana ubabe wa kuandika sana mitandaoni, mara lema ndiye kaleta hoja ya machinga complex inawezekana kasema lakini je; mmesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.