JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Dogo shida yake hana uwezo hata kidogo wa kujenga hoja,pamoja na kuto jua kihehe na makazi kuwa London ndiyo taabu tupu
..CCM wameanza kumficha mgombea wao.
..wapambe wanaongea zaidi na kupelekea wapiga kura kutokupata nafasi ya kumsikiliza na kumsaili mgombea ubunge.
..I hope wananchi watayaona mapungufu hayo na kuchukua hatua za busara.
cc Tumaini Makene, Yericko Nyerere
Last edited by a moderator: