Habari za saa wakuu wangu?
Bila kupoteza muda niende katika jambo husika kwenu wahenga na wasamaria mnisaidie maarifa...
Wakuu kama mhitimu bila kupoteza muda ktk kutafuta na kusubiri kupata ajira mwaka huu nilifanya maamuzi ya kuwekeza fedha yangu ya akiba ktk kilimo cha maharage huko Gairo...
Si bora we 24yrs mi may natimiza 26 na tokea Feb niliamua kurudisha majeshi nyumbani japo sikupenda kbsa,,, now najipanga kurudi mchezoni upya June the bad thing naonekana nna hela kumbe holaaa.....
The good thing Mungu yupo tumtangulize yeye sikia hii hivi majuzi saa kumi alfajiri niliamka...
Tatizo wivu Rc alitegemea kupaishwa baada ya ushindi wa stars then ghafla piere ndo anapaishwa na mama samia makonda ikamchoma kinoma maana ni kama vile jitihada zake za uhamasishaji hazijaonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.