Recent content by mr mambo

  1. M

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Ukimya au kutokucomment nalo linapendeza. Hebu fikiria kama Lissu ni ndugu yakonau wewe mwenyewe umefanyiwa hivyo. Hutopiga mayowe??? Think before you comment Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

    Kuna haja gani kiendelea kufanya baisahara kwenye nchi isiyo na mazingura rafiki. Mlango mmoja ukufungwa milango mingine iko wazi.
  3. M

    Tuhuma dhidi ya Membe: Bashiru hajakurupuka, kuna ukweli

    Hata Pinochetti aliondoka. Has to GO
  4. M

    Tuunganishe dots utekwaji wa Mo Dewji

    Wafanyabiashara wahame tu hapa mazingira sio rafiki
  5. M

    CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

    What shame is this. We are looking forward to hearing what policy makers saying. It is not his fault but is ours .
  6. M

    JF Party On My Mind

    Hmm ninawasiwasi nawee[emoji30]
  7. M

    TANZIA: Diwani wa CHADEMA Kata ya Namwawala mkoani Morogoro auawa kwa kukatwakatwa mapanga

    Kwanini serikali inafumbia macho mauaji haya. Na kwa nini wanaouawa ni vyama vya upinzani!?
  8. M

    Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge majimbo ya Kinondoni na Siha, Udiwani Kata 8: CCM yanyakua majimbo yote!

    Kwa wapinzani wanaendelea kushiriki chaguzi mbalimbali. Kwa nini wasipiganie kupata katiba kwanza badala ya kupiteza mda
  9. M

    Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge majimbo ya Kinondoni na Siha, Udiwani Kata 8: CCM yanyakua majimbo yote!

    Tanzania hakuna tunachokifanya. Siasa imetushimda maendeleo yametushinda. Hakuna katiba
Back
Top Bottom