Recent content by Mr magic

  1. M

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Tayari naona limeshaanza kuwa fursa kwao hata hili ntashangaa sana tunakoelekea siyo kuzuri
  2. M

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Na hili nalo mnataka waziri wa mambo ya ndani alijibu acheni fikra za kipumbavu hili swala lipo chini ya police na mamlaka ya upelelezi ya makosa ya jinai na siyo waziri
  3. M

    Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

    Hii inasikitisha sana kwa unyama uliofanywa kwa huyu ndgu na mtanzania mwenzetu ila pia ntashangaa sana kama hili tukio kuna watu watalitumia agenda yao ya kisiasa kwa hili watakuwa wamerwong step mbaya sana
  4. M

    Kama Rais hana huruma na Mtanzania na anasema waziwazi; Je, sirini ni yapi anayaagiza juu ya Raia?

    Kuwa mfungwa haina maana ndio mwisho wa maisha japo siyo kwamba mfungwa ni mtu mbaya ila kungetumika utaratibu mzuri wa kuwatumia wafungwa wetu katika utaratibu mzuri wa uzalishaji mali mfano wafungwa wa mda mrefu hawa wangetumika katika kufanya shughuli za uzalishaji hasa kilimo na ufugaji na...
  5. M

    SGR bila demokrasia, ni zaidi ya utumwa

    Kwahiyo police na waliokuwa wanakufa kibiti na mkuranga mabwepande hawakuwa watu walikuwa fisi maana hata fisi napo ni utalii watu wangehoji kwann inatokea ila kwakua wapo binadamu ambao wenyewe ni level flani wakiguswa ndio hapo mnasimama hakuna anaependa mauaji na matukio mabaya kuendelea...
  6. M

    Mwanza: Wafuasi CHADEMA waliokamatwa msibani kupandishwa kizimbani

    Mungu atuongoze vyema hasa katika matukio haya yakijamii tunakoelekea siyo kuzuri maana siku hz kwenye misiba kumekuwa na huyu wa chama flani azikwe na chama chake na huyu wa flani nae watazikana wao sisi hatuendi hii ni mbaya sana ikiendelea hv muda siyo mrefu tutageukia kwenye imani zetu...
  7. M

    SGR bila demokrasia, ni zaidi ya utumwa

    Sitoshangaa ndgu ndio demokrasia inayodaiwa kila siku ya mtu kutokujali utu na thamani ya mwenzake siku zote wanasema usipende kumtendea mwenzio usichopenda utendewe
  8. M

    SGR bila demokrasia, ni zaidi ya utumwa

    Demokrasia ni neno pana sana na demokrasia siyo ya kukosoa tu hata kuwawajibisha pia viongozi wanaokengeuka kwa nguvu na kauli moja lakini hv ni utaratibu gani tunaotumia katika kukosoa na kutoa maoni? Je kutukana na kutoa kauli chafu,kejeli,kashfa na kutoheshimiana kwa mamlaka ndio tunaiita...
  9. M

    Familia ya mwanafunzi Abdul Nondo yashinikizwa kuiomba msamaha Serikali

    Nashukuru akili kubwa mnaotengeneza tukio na kuandaa mawakili ili kukutetea
  10. M

    Familia ya mwanafunzi Abdul Nondo yashinikizwa kuiomba msamaha Serikali

    Usifananishe mbwa na binadamu mwenye utashi bhana alafu haya mambo tuwaachie wenyewe kelele si ilikuwa jeshi la police kumtafuta na kukamata wahusika baada ya taarifa za kutekwa sasa mbona mnashinikiza police wafanye kama ninyi mnavyotaka hao mawakili mbona hawakumfuata huko saohill tuwape...
  11. M

    Kumbe Papii kocha anaweza kuwa baba mkwe, hili toto lake

    Huyo mtoto ni mzuri kiasi kwa sura yakuombea maji ipo mtindi nao Mungu hajamnyima na kachura nako kapo ila me siwezi tembea na demu ambae namzidi me mwenyewe HB najikubali sasa ndio nichukue sankononko hata halieleweki lanini sasa
  12. M

    Video inatisha: Tazama kilichomkuta aliyebaka mtoto wa umri wa miaka mitano Saudi Arabia

    Na hao wanawake wanaolia na kumkimbilia wanazuiliwa au huwaoni alafu picha kama hiyo huwezi pata filling ya kila mtu wangemuulia sehemu maalum ikaisha mbona huku sheria yakunyonga ipo ushawahi kuona wananyongwa hadharani
  13. M

    Familia ya mwanafunzi Abdul Nondo yashinikizwa kuiomba msamaha Serikali

    Alafu siyo kila mtu ni Dada ako uwe unasoma basi huwezi tofautisha Mr& Mrs au ndio umezaliwa familia ya akina Dada wengi sawa hata kama wanasheria wa kifamilia au taasisi amefanya kosa gani yule siyo mtuhumiwa ni mhanga wa tukio wangeenda ndgu labda sawa ila wanasheria ni pale akifunguliwa kesi...
  14. M

    Serikali ipige marufuku uuzaji pombe maduka ya rejareja mitaani

    Sheria gani bongo bhana we fanya unachokiweza ila kiwe salama
  15. M

    Video inatisha: Tazama kilichomkuta aliyebaka mtoto wa umri wa miaka mitano Saudi Arabia

    Basi wangemuua sehemu ambayo siyo hadharani hvyo katikati ya umati wa watu
Back
Top Bottom