Leo nime like comment ya Tate Mkuu , huwa nazikimbia comment zake kwasababu anatusagiaga sana kunguni simba hahaha
Why nime-like? Sio tu imenifurahisha, hapana, ameongea ukweli
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yaani wewe kuleta tu hii mada humu ndani tayari ni msiasa kama si mdini.....
Mbona hukuja na mada kuwasema waingereza walivyompiga figisu mmiliko wa Chelsea wa zamani kwa sababu tu ni mrusi, kwani zile sio siasa katika Mpira???
FIFA na wewe wote mna double standards, jambo likiwa dhidi ya...
Alhamdulillah Mimi ni muislam....Alhamdulillah katika mafundisho yetu ya kiislam makka na madina ni miji mitakatifu na sio wakazi wa makka na madina ndio watakatifu au bora kuliko watu wengine, laa! Mbora wetu mbele ya mwenyezi mungu ni mcha mungu hata kama anatokea rorya...naipenda sana hii...
Achana nae huyo hana hajualo, Pepsi na coca wapo kila sehemu kwani wana sababu gani kwenda vinijini ilihali wao ni super brand duniani kote?? Hana analolijua huyo muache
Ulichokiandika hapa ni mfano wa kitoto sana sawa na vyuo visivyo na muda mrefu sana kama UDOM kufanya vizuri katika taaluma, research na innovation mbali mbali alafu Chuo kikongwe kama udism kishindwe kufanya hivyo kianze kujivunia oooh walimu wengi wa udom walisomaga udism au walikuwaga udism...
Ulichokiandika hapa ni mfano wa kitoto sana sawa na vyuo visivyo na muda mrefu sana kama UDOM kufanya vizuri katika taaluma, research na innovation mbali mbali alafu Chuo kikongwe kama udism kishindwe kufanya hivyo kianze kujivunia oooh walimu wengi wa udom walisomaga udism au walikuwaga udism...
Kwa taarifa yako si udokta wa heshima ni udokta wa level ya elimu aliyonayo ila si issue kwetu waislam kuitana sheikh doctor, hata nje na dini wapo watu wamepewa udaktar wa heshima(No dewji) ila hawana nao haja sana wa kujinadi nao eti Mimi doctor pengine umejua Leo Mo pia daktari ila kwake sio...
Swadakta,akina sudais ni professor lakini binafsi sjwahi eti kumuita professor sheikh sudais wala sjawahi hata skia waislam wakimuita eti professor sheikh sudais ndio nini kwanza?? itoshe tu kumuita sheikh sudais, muft wa hapa Tz ni daktari, lakini yatutosha sisi kumuita sheikh muft basi....
Kauli moja ambayo inatumika hadi kwenye mazingira yasiyofaa....in short ni kauli inatumika hadi kwenye ujinga
Sawa kwako ni pesa ndogo....lakini unatambua kwamba ukubwa na udogo wa pesa ni relative matter ina depend mtu na mtu???? Babu alieko Musoma anaetegemea ashike vijisamaki vitatu kwenye...
Kwani hata kwetu bara hapa tuna rasmali ngapi??? Nyingi sana kwani maisha ya mmoja mmoja yakoje na kipato cha wengi kipoje??? Waachemi wazanzibar bwana tufanye yetu kwanza
Mwamba kaomba wateja wa vitu au salooni nazani ila wadau wanadiscuss mambo nje mada kabisaa.....kuhusu failure in business it's normal regardless umefanya risk management kiasi gani...hata kina elon wana failed project pia tena sio moja wala mbili tena za mkwanja mrefu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.