Recent content by mr kyaka

  1. mr kyaka

    Utafiti: 71% ya Watanzania hutumia muda wao katika mambo yasiyo na maana

    Tena mimi nachukia sana na huu uchafu wa kubet ,vijana wetu ambayo ndo nguvu kaz ya taifa wameharibika akili hawawaz kuzalisha zaid ya kuwaza kucheza hiyo kamali,rais tusaidie kwa hili
  2. mr kyaka

    Mkimaliza watumishi hewa, tuondoleeni na hili

    Majeshini walimu manes hao ndo vinara vyeti feki
  3. mr kyaka

    Wazo: Rais aongezewe mshahara

    Hofu yako ni nini mkuu mbona inatosha ukizingatia hakatwi kodi na kila kitu anahudumiwa
  4. mr kyaka

    Bakhresa food products ltd kupunguza wafanyakazi 500

    kumbuka pia purchasing power ikiwa kubwa inapelekea high inflation rate, kwahiyo sioni kama ni suala la kiuchumi hata kama lipo lakin ni kwa asilimia ndogo sana mkuu
  5. mr kyaka

    CEO wa FastJet afukuzwa kazi, kampuni hatarini kuishiwa fedha

    tunaleta air bus za kutosha air tz vuteni subira kidogo
  6. mr kyaka

    TCRA, tujuze kwanini Azam TV haiwekwi kwenye ving'amuzi kama Local channel

    . mi nilishaachana na huu uchafu wa vig, amuzi
  7. mr kyaka

    TCRA, tujuze kwanini Azam TV haiwekwi kwenye ving'amuzi kama Local channel

    mi nilishaachana na huu uchafu wa viggamuzi
  8. mr kyaka

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Aliyelalamika ni dini au mtu binafs au una chuki zako siku nyingi na hii dn?
  9. mr kyaka

    Lowassa: Rais Magufuli ni mfano wa viongozi wa Afrika wasio na maono

    Huyu m Huyu mzee wivu tu ndo unaomsumbua alitaka aingie yeye ili aendelee kupiga dili Magufuli ni rai mchapakaz na dunia inalitambua hilo kwasasa elimu bure itafanikwa tu kwan bado mapema sana
  10. mr kyaka

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Mkuu D Mkuu Deodorus Kamala hajaangushwa ni mbunge wa jimbo la Nkenge kwasasa
  11. mr kyaka

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Mkuu usianze kumlaumu JPM acha afanye kaz na kupanga safu yake itakayomsaidia mi sion ubaya hapo jamaa hashuguliki na mambo ya dn kabisa ukilinganisha na awamu zetu zile mbili
  12. mr kyaka

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    yeah Magufuli mi simpi kabisa suala la udini na hana lengo hilo kabisa ila huwa nawalaumu na kuwashangaa wanaompa jk sifa ya udini manaa ukingalia idad ya mawazir wakuu wa mikoa na madc na wakurugenz mbalimbali wa mashirika ya umma wanaoteuliwa na rais bado waislam ni wachache sasa sijui waislam...
  13. mr kyaka

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Mkuu una uhakika na ulisemalo waliouwa nchi ni akina nani na wamesoma wap na majipu ya yanyotumbuliwa ni ya upande upi?
Back
Top Bottom