Recent content by MR KUO

  1. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Hapo yanga hawezi kupokwa point kweli?
  2. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Q
  3. MR KUO

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Naomba Magufuli asifananishwe na takataka za jalalani tafadhari sana. Adabu itawale.kama hamuwezi kumuongelea kwa mema basi fungeni hayo matako yenu pumbavuu
  4. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Kaka leo umezingua sana, mamba 24 yuko sawa, kataa ushoga kataa mashoga kataa kataa kabisa.
  5. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Kama tunampenda kweli tumshauri Kihekima na siyo kumjaza Ujinga kwa kujiona anajua na mbabe kisha anaendelea Kuteseka

    Muda utafika aanze kulia kama mbwa koko aliyepigwa jiwe , time will tell. Ubishi haujawahi kushinda mbele ya ukimya wenye vitendo.
  6. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Lastaman ni tapeli kama matapeli wengine.
  7. MR KUO

    JamiiForums Tanzania RCO wa mkoa wa Mwanza, ashitakiwe Kwa uharifu dhidi ya ubinadamu.

    Mwambie mtoa mafa aliona wapi upelelezi wa kubembeleza kama wanaimba taarabu?
  8. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa Mabinti: Kwa Kadri Unavyokuwa Hard To Get, Ndivyo Unavyozidi Kupendwa, Kuthaminiwa!, Ukiwa Easy Come, Easy Go!

    Tatizo siku hizi waoji wanakaziwa halafu wanaliliwa wapigaji tu, binti ukishamwambia unamuoa ndo anavyozidi kukaza asiguswe wakati kuna masela wanamgeuza kama chapati kwa ofa za chips mayai. SISIS SIO WAJINGA TUNAJUA. Na huu ushauri umekuja kwa kuchelewa saaaana.
  9. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Hivi ni mimi tu ambaye sina wivu wowote kwa kiumbe anayeitwa mwanamke au kuna wengine?? Mimi ukichepuka ni mpaka nikukamate hapo umeenda, nisipokukamata hata kuhisi au kukutilia mashska sihitaji kabisa
  10. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya matukio muhimu baada ya kupanda mount Kilimanjaro "way back" hakika ilikua safari nzuri na kuvutia sana

    Kumbe kamlima kadogo ikiwa ni kwa mujibu wa picha zako na maelezo
  11. MR KUO

    JamiiForums Tanzania King David anaishi ndani ya Mtibeli

    Kuhusu kuweka pi cha yake halisi hilo nakataa, mtibel hawezi kuwa bishoo au GEN Z namna hiyo.
  12. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Usiishi na Mwanamke Mzuri kisasa. Mzalishe chapuchapu angalau watoto wawili, watatu. Huna hasara hata mkiachana

    Nimeelewa, lakini ni uzuri gani umemaanisha wa kimwili au kiakili, maana wote tunajua humu ni hatari kibwa kuzaa watoto wengi na mwanamke mjinga.
  13. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Hizi ndoto Zina madhara makubwa, zichukulie kwa uzani mzito

    No 9&10. Ila mbona mimi mara zote naishia kuwadunda vibaya sana,kuwaralua au kuwapasua vichwa? Na hatua gani za kuchukua mbona hujasema?
  14. MR KUO

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Kuna wachumia tumbo wawili wamepita mmoja kavaa kama mpemba mwingine anachechemea vipi??
Back
Top Bottom