Inawezekana ikiwa hujawahi.
Singatia ukiwa hujawahi, kinyume na hapo roho inakataa lakini mwili ni dhaifu, siku moja utadalitiwa na hivi viungo vya mili hadi ushangae.
Na wewe hujapata mwanamke ambaye ni wa ajabu.
Kauli chagu tena za hapo kwa hapo,muongo muongo na mwizi mwizi, anasema uomgo ukimshtukia anautetea kwa nguvu na kauli chafu juu, heshima ndogo, kuburi na dharau. Huyu hata ukumkuta anajifungua huku kazimia huruma unatoa wapi
Shida ya kilimo na ufugaji ni uache vyote ufuate msalaba.
Maana yangu kama utalima na kifuga iwe hivyo usifanye mambo mengine, huoni wamasai hata shule hawaemdi na wanaoenda hawafugi.
Nilitaka kumpinga mleta mada ila baada ya hesabu nimegundua ni ufala kweli.hata kwa mwaka mtaji haurudi huku bajaji yenyewe ndani ya mwaka tu inakuwa hoi bin taabani, ikizingua ukaamua kuipeleka chuma chakavu hata laki 5 hazifiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.