Recent content by MR KUO

  1. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa Mabinti: Kwa Kadri Unavyokuwa Hard To Get, Ndivyo Unavyozidi Kupendwa, Kuthaminiwa!, Ukiwa Easy Come, Easy Go!

    Tatizo siku hizi waoji wanakaziwa halafu wanaliliwa wapigaji tu, binti ukishamwambia unamuoa ndo anavyozidi kukaza asiguswe wakati kuna masela wanamgeuza kama chapati kwa ofa za chips mayai. SISIS SIO WAJINGA TUNAJUA. Na huu ushauri umekuja kwa kuchelewa saaaana.
  2. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Hivi ni mimi tu ambaye sina wivu wowote kwa kiumbe anayeitwa mwanamke au kuna wengine?? Mimi ukichepuka ni mpaka nikukamate hapo umeenda, nisipokukamata hata kuhisi au kukutilia mashska sihitaji kabisa
  3. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya matukio muhimu baada ya kupanda mount Kilimanjaro "way back" hakika ilikua safari nzuri na kuvutia sana

    Kumbe kamlima kadogo ikiwa ni kwa mujibu wa picha zako na maelezo
  4. MR KUO

    JamiiForums Tanzania King David anaishi ndani ya Mtibeli

    Kuhusu kuweka pi cha yake halisi hilo nakataa, mtibel hawezi kuwa bishoo au GEN Z namna hiyo.
  5. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Usiishi na Mwanamke Mzuri kisasa. Mzalishe chapuchapu angalau watoto wawili, watatu. Huna hasara hata mkiachana

    Nimeelewa, lakini ni uzuri gani umemaanisha wa kimwili au kiakili, maana wote tunajua humu ni hatari kibwa kuzaa watoto wengi na mwanamke mjinga.
  6. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Hizi ndoto Zina madhara makubwa, zichukulie kwa uzani mzito

    No 9&10. Ila mbona mimi mara zote naishia kuwadunda vibaya sana,kuwaralua au kuwapasua vichwa? Na hatua gani za kuchukua mbona hujasema?
  7. MR KUO

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Kuna wachumia tumbo wawili wamepita mmoja kavaa kama mpemba mwingine anachechemea vipi??
  8. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Kosa kubwa la huyo mzee wako ni kuonekana kwenye matatizo yote ya hili taifa, mtu wa mtandao mwovu hana lolote la kutufanya tumuone mwema
  9. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutafakari kwa kina nimeona October nitiki

    Tafakari yako iko wapi? Hatushawishiki, Hatudanganyiki
  10. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa: Madai ya Humphrey Polepole ya kuhujumiwa kwa mifumo ya uchaguzi ni tishio la usalama wa nchi na taifa moja kwa moja. Huu ndio uhaini uhalisi!

    Kama kuna kosa walilifanya ccm ni kumuua Magufuli. Hii sinema ilichezwa kwa mhemuko
  11. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Lodge za Msamvu Morogoro zimejaa kunguni balaa

    Uongo
  12. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Inawezekana ikiwa hujawahi. Singatia ukiwa hujawahi, kinyume na hapo roho inakataa lakini mwili ni dhaifu, siku moja utadalitiwa na hivi viungo vya mili hadi ushangae.
  13. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Hutakaa umuheshimu mwanamke mpaka siku utakayoshuhudia akijifungua

    Na wewe hujapata mwanamke ambaye ni wa ajabu. Kauli chagu tena za hapo kwa hapo,muongo muongo na mwizi mwizi, anasema uomgo ukimshtukia anautetea kwa nguvu na kauli chafu juu, heshima ndogo, kuburi na dharau. Huyu hata ukumkuta anajifungua huku kazimia huruma unatoa wapi
  14. MR KUO

    JamiiForums Tanzania Kama umenunua Bajaji ya Milioni 20 ili upewe 20k kwa siku basi unafanya biashara kichaa

    Shida ya kilimo na ufugaji ni uache vyote ufuate msalaba. Maana yangu kama utalima na kifuga iwe hivyo usifanye mambo mengine, huoni wamasai hata shule hawaemdi na wanaoenda hawafugi.
Back
Top Bottom