SOKO LIMEJENGWA MAENEO AMBAYO NI YA WATU WA DARAJA LA JUU KIMAISHA, MANUNUZI WANAFANYIA UKO MJINI WANAWEKA STOCK NDANI NANI APOTEZE MUDA WAKE KWENDA UKO KUFANYA MANUNUZI WAKATI MAGENGE YAPO UKO MTAANI
Siajamuelewa mchungaji anaposema kuwa anasimama on behalf of God mahali ambapo ilibidi Mungu akuombee anaomba yeye kama mchungaji, Mungu ambaye ni muweza wa yote anaomba kwa nani? au nimelewa
Haingii akilini mmetumia zaidi ya miezi minne kuita watu kwenye Usaili Dodoma kisha mnasitisha mchakato ghafla, just imagine vijana wametoka mikoa ya mbali kwa gharama zao tena vijana ambao wengi hawana kipato cha uhakika kutokana na ukosefu wa AJIRA.
Tunapendekeza next time muanzishe vituo...
Vipi kuhusu zoezi la kuundaa mwili wa marehemu kwa ajili ya mazishi kumekuwa na tuhuma toka kwa ndugu kuwa miili ya wapendwa wao inaweza kuondolewa kiungo kwa maelezo maalumu, ili limekaaje maana ndugu wanakua wakali sana katika Ili zoez pale wanapokosa mwakilishi katika zoezi zima
Ukiitwa kwenye interview na utumishi hakikisha unabeba document zote ikiwemo vyeti vya ubatizo na kipaimara Yani ukikosa kiambatanisho kimoja tu unatemwa na hapo kumbuka umetoka mkoa mmoja kwenda mwingine kufatilia mchongo [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanini mwili wa marehemu ukifika mochwari kunakua hamna utaratibu wa kumpima Tena angali yupo hai, haijawahi kutokwa siku mtu kazinduka akiwa ndani ya friji?
Nimeshuhudia mtu akizama maji baharini wakati akiogelea kama utani ni kitendo Cha dakika zisizozidi kumi tayari mtu anakua amepoteza uhai, tafadhali kama Hauna ujuzi wa kuogelea usiingie baharini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.