Mi nikijana sina experience na ndoa lakini I believe mume au mke wa kwanza ndo Mme au mke baada ya hapo ni kucheza kamali kama ungeweza ungelea watoto wako tu sasa kwa umri wako kuanza kubeba mimba tena ipo kazi kama unaupweke sana basi chagua huyo wa kwanza maana naisi anakufaa I mean it lakini...
Arsenal ilionyesha ishindani Jana Ila sema wenger hana uwezo wa kuleta mafanikio navyo hisi msimu huo arsenal itamaliza top 4 Ila bila kombe kama man u,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.