Arsenal leo kipigo

Arsenal leo kipigo

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,567
Reaction score
12,206
Kutokana na timu za UEFA jana kushinda ugenini,leo Arsenal ina uwezako mkubwa kufungwa nyumbani na Bayern Munich kwa wingi wa mabao.Poleni sana.
 
isipofungwa tukufanyaje?

scratching-head-smiley-emoticon.gif
 
Kutokana na timu za UEFA jana kushinda ugenini,leo Arsenal ina uwezako mkubwa kufungwa nyumbani na Bayern Munich kwa wingi wa mabao.Poleni sana.
Nakubaliana kabisa na analysis yako. Kuanzia leo timu za ugenini ziwe zinapewa ushindi bila ya mechi kuchezwa. Hawa UEFA hawajui kinachoendelea..
 
Kamwe maneno sio matendo,mpira sio siasa,usione man city kapigwa jana ukadhani 'the game is over',usidhani kwa kua mwaka jana Arsenal alifungwa na Bayern munich 3-1 nyumbani basi na mwaka huu atafungwa tena, mpira unachezwa UWANJANI sio MDOMONI!,IN FOOTBALL ANYTHING CAN HAPPEN.
 
Leo the gunners kushinda ni lazima. Arsenal 3
 
Jamani hv huyo anajua kma leo wanakuja kwenye uwanja wa ndege wa emirates pale ni pagumu hauwez ukachomoka hv hv kzembe 2
 
ngoja tuone sijui mtanusurika kwa muller na mandzukic..
 
Kutokana na timu za UEFA jana kushinda ugenini,leo Arsenal ina uwezako mkubwa kufungwa nyumbani na Bayern Munich kwa wingi wa mabao.Poleni sana.

Duh! yani conclusion zingekuwa zimetengenezwa kwa argument za mtindo huo wako life ingekuwa simple sana. Ila ninauhakika mtu kama wewe huwezi kupata ulcers (vidonda vya tumbo) hata cku moja b'se hajishughulishi kufikiri (no stress) na badala yake una-conclude kirahisi rahisi tu.

Unafanana na mtu anaesema "Ngadu katoka baharini kaja nchi kavu basi ngadu nae samaki"
 
Natamani sana Bayern watolewe mapema lkn Arsernal hawanipi matumaini hayo labda yale maajabu ya fainali ya Euro kati ya Ureno na Ugiriki yajirudie.
 
Duh! yani conclusion zingekuwa zimetengenezwa kwa argument za mtindo huo wako life ingekuwa simple sana. Ila ninauhakika mtu kama wewe huwezi kupata ulcers (vidonda vya tumbo) hata cku moja b'se hajishughulishi kufikiri (no stress) na badala yake una-conclude kirahisi rahisi tu.

Unafanana na mtu anaesema "Ngadu katoka baharini kaja nchi kavu basi ngadu nae samaki"


aduwillyUmona ngadu
nae samaki?Mtazamo wangu ulikuwa na logic,kutokana na timu zote nzuri zilikuwa zinacheza ugenini,Hiyo imedhihirishwa na matokeo.Poleni wana Arsenal.
 
Last edited by a moderator:
Arsenal ilionyesha ishindani Jana Ila sema wenger hana uwezo wa kuleta mafanikio navyo hisi msimu huo arsenal itamaliza top 4 Ila bila kombe kama man u,
 
Back
Top Bottom