Recent content by Mr Focus

  1. M

    Mabango ya Waganga wa KIENYEJI, ni KERO au usanii mpya kwa Watanzania!!!

    Ongezeko la matangazo ya waganga wa jadi nchiniTZ hususan Dar wanaodai kuwapa watu utajir yanaleta picha gani kwa jamii?
  2. M

    Hivi meno ya tembo ni malighafi ya nini?

    Nasikia tu kuwa yanatumika kutengenezea madawa ya maradhi ya saratani ktk nchi za Asia japo haijathibitishwa kisayansi
  3. M

    tafadhali wana jf nifungulieni milango

    Milango ipo wazi,karibu sana JF
  4. M

    Hodi! hodi! wana JF

    Ahsanteni sana nyote mlionipokea kwa wema and I'm so glad to be one of the great thinkers. I wish you all the best!
  5. M

    Hodi! hodi! wana JF

    Ahsante sana, watu8
  6. M

    Kenya yafanya kweli kwa majangili wa Tembo

    Well done Kenyan gvt we expect whole Africa to follow that direction so as to save our resources which god gave us.
  7. M

    Mirathi inanitoa Roho

    Nenda kwenye taasis za dini zinaweza kukusaidia
  8. M

    Je,Wakili ni Mwanasheria?

    Je,wakili ni mwanasheria? nakama jibu ni ndiyo inakuwaje ana uwezo wa kumtetea mtenda dhambi ilhali anafahamu ukweli?
  9. M

    Lipi ni neno sahihi na sanifu...

    Lipi neno sahihi na sanifu kati ya "KIZA" na "GIZA"? nisaidieni wana jukwaa la lugha.
  10. M

    Habarini za majukum wakuu,mgen kaingia!

    Karibu sana japokuwa mimi ni mgeni mwenzio
  11. M

    Hodi! hodi! wana JF

    Nifungulieni jamani nataka kuingia na sio kupita tu!
Back
Top Bottom