Nitakupataje ndugu Mshana? Upo hapa Tz au huko mbali? Nakuhitaji sana kwa msaada wa kuponywa na kukingwa kilozilozi. Msaada wako tafadhari. Maana haya mambo yapo na wapo kwa ajili ya kusumbua watu tu! Tafadhali nipe njia mmbadara ya kuwasiliana nawe mkuu. Dawa ya moto ni moto tu mengine ni...
Kwa nini haya mabadiliko yanatafutwa na wana kaskazini tu! Lowasa, Mbowe, Mbatia na top management yote ni toka huko. Maalimu Sefu yupo kama ngazi tu. Au watu wa moshi na arusha ndo watu pekee wenye uchungu na nchi hii?!!
Niliwahi kuhisi hili, na Jk anaujua mchezo wote unaoendelea, ile kumtosa El dodoma ilikuwa geresha tu, ni wamoja na wanashirikiana kwa siri sana kuiangusha ccm. Hebu jiulize kwa nini wale wazee walomchagua pombe walikosa ushirikiano wa kutosha toka vyombo vya usalama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.