Recent content by Mr Dudumizi

  1. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Huu Utaratibu wa kuwarudisha watanzania nyumbani ni wa hovyo. Unahitaji marekebisha ili kukidhi malengo ya kweli.

    Katika kipindi hiki ambacho raia wengi wa kigeni wanakumbana na changamoto mbali mbali za kiusalama hapa Kaburu, kutokana na fujo zinazoendelea nchini. Baadhi ya nchi zenye utu, na upendo kwa raia wao zimetuma ndege na mabasi mengi ili kusaidia kuwatoa raia wao wanaotaka kurudi nchini kwao kwa...
  2. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

    Wachambuzi wenyewe wamekua kama watangazaji mpira go go goli kiki, kumbe mpira upo katikati ya uwanja 😂😂😂
  3. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

    Nahisi yupo vigwaza kwa mpare 😂😂
  4. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Ndio vimejengwa kwa pesa yangu kupitia kodi yangu.
  5. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Waandamanaji... Tena hawajaua polisi tu bali wamechoma vituo vya polisi, wamechoma magari ya polisi, wamechoma petrol station na magari ya watu wasiokuwa na hatia. I mean magari yote yaliokuwa yamepaki au kwenda kujaza mafuta kwenye petrol station hizo yameungua, wamechoma maduka na nyumba za...
  6. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Kama wewe ni mtaalam wa kusoma body language za watu utagundua vizuri kuwa Mange ni muongo muongo anaeokoteza maneno ya kuwahadaa wajinga kwa ajili yake NA wenzake. Yani ni mtu ambae anapambania tumbo lake na watoto wake. Hawa watoto wa masikini wanaoingia barabarani kufa, kuumizwa na kukamatwa...
  7. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Ok mkuu ubarikiwe sana.
  8. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Mkuu kumbe wewe ni muungwana sana, hivyo acha na mimi nikujibu kiungwana. Inawezekana ukawa haujui kweli kwamba haya mambo ya machafuko yalitaka kuepushwa na serikali, ila kwa upande wa waandamanaji wao walikuwa na agenda yao ya siri hivyo walipinga kile walichoambiwa. Hawa watu waliambiwa...
  9. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Tatizo lenu baadhi yenu ni wanafiki. Unaandika jambo halaf unajificha kwenye kichaka cha siasa. Swala la kwenda kupiga kura au kutokupiga kura ni la kwako. Hapa tunazungumzia uhalisia wa kilichotokea. 1. Labda uniambie je waandamanaji walichoma vituo vya mafuta au hawakuchoma? 2. Waandamanaji...
  10. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Kum@ la m@m@ ako
  11. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Hili swali ungejiuliza wewe na Mange Kimambi kwamba kile kilichowafanya kuandamana siku ile ndio kili justify waandamanaji wachome nyumba za watu, wachome maduka ya watu, waunguze vituo na mabasi ya umma, waunguze vituo vya mafuta vya watu, wachome vituo na magari ya polisi, lkn zaidi wauwe...
Back
Top Bottom