Amekosa kazi ya kufanya huyo anatumika tu huyo yaan miaka 7 anachukulia easy tuu, Rais kazi yake kutumikia wananchi iyo 5 yes inamtosha tuu...huyo Musiba ni mihemko hiyo aonekane na mkulu ili amfikilie hata UDC..
Ahaa c kweli wote wako kitoto kwan mi ni wa 1984 but cna izo tabia za kitoto kwan najielewa na nna familia ya watoto wawili na ninesoma elimu yangu nzuri tuu..
Mvua inanyesha sana tanga kwan hata mi j2 iliyopita nimetoka songe kilindi maeneo ya kwediboma hapapitiki barabara ineharibika sana Noah nilikua zinapita kwa shida sana ILa mabasi Hajees,kipacha hayakuweza pita..
Na bado ndo safi tuendelee kuisoma no na mlizoea vya kupiga sasa mirija imezibwa na ndo inabidi ujikaze mkanda uishi kwa bajeti ndugu yangu@ wazabanga kuku..
Biashara sasa ivi ni ushindani sana na mashirika ya ndege ni mengi so inaitajika ubinifu wa hali ya juu ili tufanikiwe teka soko na faida tupate,pili menejimenti na wafanyakazi wajitume wawe na uchungu wa kuendeleza shirika wafanye kazi kwa bidii na ikiwezekana hata expert aajiriwe sio kila cku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.