😂😂😂😂😂😂😂
Naomba tuianze Wikiendi kwa namna hii.
Maisha yalibadilika sana, kila mara nilikuwa mtu wa kukaa ndani kama mwali aliyetolewa mahari ya kisukuma. Wapi niende mimi Joka jeusi, sina hela na hata vile viwalo vyangu nilivyomaliza navyo chuoni vilishaanza kuchakaa. Kismart foni changu ndio...
😂😂😂😂😜😜
Jamaa karudi toka job mpole!
MKE: vipi leo mbona mapema na mpole?
MUME: ofisi yetu imeungua na watu wote wamekufa,
MKE: ilikuwaje wewe ukapona?
MUME: nilikuwa chooni, jirani na ofisi najisaidia.
MKE: Loh masikini familia zao itakuwaje?
MUME: watalipwa milioni 100 kila mfiwa.
MKE KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.