Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Hahah!! Nimekupata sema naona umegoma kuingia kwenye mtego wa udada'vuziushaelewa mswahili mwenzangu
Hahah!! Nimekupata sema naona umegoma kuingia kwenye mtego wa udada'vuziushaelewa mswahili mwenzangu
Hahahahaa we noma saaana ulijuajee....Hahah!! Nimekupata sema naona umegoma kuingia kwenye mtego wa udada'vuzi
Hahah!! Waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba tuHahahahaa we noma saaana ulijuajee....
HaswaaaHahah!! Waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba tu

Mmhh....ndio kusema aibu ama??

Heheh!! Eti NdioMmhh....ndio kusema aibu ama??![]()
Heheheee halooooHeheh!! Eti Ndio

Hahah!!Heheheee haloooo![]()
He he he henimecheka sana![]()
![]()
,, mkuu bado unaendelea kupasua mapulizo
teh teh tehAsigwa oa bana umri huo unaenda, yaan mpaka sasa hivi ulivyo senior bachelor bado tu hutaki kuoa , sasa unataka ufike level gan za ubachelor
pesa muhimkwani ajira ndiyo inaoa au unaoa wewe?
Madam umeongea point sana. Unajua wanaume wengi tunapotea kwenye kuchagua slay queens. Yaan unaona kabisa huyu mwanamke kutwa anashinda saloon, hana kazi, hana elimu, hajishughulishi kwa lolote , kutwa anapiga story na kudanga.Muache kuchagua masister duuu w hovyo.
Na nyie kukaa vijiweni mmeoga tu kulalamika vyuma vimekaza muache. Ingieni mtaani pigeni kazi yoyote wanawake wenye akili na upendo wapo tu.
Sayoo wapo sana ndugu yangu.Hebu nitafutie huyo mwenye akili hata kidogo madam , maana me ninao kutana nao ni matatizo matupu wanataka kuishi maisha ya bongo movie tuu
John inaudhi kinyama. Ndio maana sheria yangu mm mali zangu zote ziko under jina langu. Na kabla ya kumuweka ndani lazima nimpe test ngumu sana kuona reaction yake.Mm kinachonifanya ncioe moja ajira mikataba mara mwz mmoja pamoja na sheria mbovu za selikal jitu unalichukua halina mchongo lipo tu gheto bila kaz unafight unajenga nyumba plus bznec then mkiachana et mnagawana huku yy alikuwa anashinda amelala.
Bila ajira utachapiwa !!kwani ajira ndiyo inaoa au unaoa wewe?