Wataisoma namba haiwezekani tamasha la wasanii lipewe kipaumbele dhidi ya tukio la kitaifa tena la kuwatafuta viongozi wa nchi,huu ni upumbavu na urofa uliopitiliza!
Chadema inaendeshwa kwa mujibu wa katiba na mgombea anapatikana kwa mujibu wa katiba na sio kikundi cha watu wasiokuwa na maadili kuunda kamati na ikaitwa kamati ya maadili kama ilivyo kwa ccm!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.