Nikisoma naona kama umewatusi wa Tanzania kwa uhalisia na hali iliyopo mtaani juu ya Ccm na mwenyekiti wake.
Kwangu inasomeka hivi
1.LAZIMA UFAHAMU KWA KINA KUA.............. NI WAJINGA
2.MTAMBUE KUA WA.................NI MBUMBU KAMA MNAVYO ZANI
3.MTAMBUE KUA WA............. WALISHATUKATAA...
Tanzania kujitambua bado sana mana hata kama watu wana IQ ila hatwoni zimefanya nin zitakua na faida gan sasa?. So low IQ ndo level zetu yan nisawa na kua na nguo afu ujisifu huku unatembea uchi sasa nguo zitakua nafaida gan kwako?
Kuna kujua pia kuna kuchukua hatua. Wachache sana ndo wana IQ kubwa ila huenda asilimia kubwa ni low IQ na kumbuka msemo wa Nyerere wengi wapewe.
Sawa me najua kua uongoz siwahak ila kujua hilo bado hakuzibitish nina IQ kubwa maana kuna watu wanajua hivyo ila nikwasababu ya kusikia sikia mambo...
Yaaan umeongea vema sana. Tanzania na Africa kwa ujumla hatwezi jilinganisha na wazungu ikiwa kila kitu tutamwachia Mungu. Et tunasema tuilinde tu amani , amani ya woga na usaliti wa nchi. Utu ninini ? Ukiutafsiri utu unaweza jua unamaanisha nini? . Wala hapa hatulindi utu bali woga wa vitendo...
Umaskini wa nchi uko mikononi mwao na kwakua wanajali maslah yao hawezi jua kwanin nchi nimaskini . Afu ndo mdai et mkiambiwa IQ ndogo mnaleta hoja zakujitetea kivp sasa hapo. Kama wanao hawajavaa nguo uulizwe kwanin wanao hawajavaa nguo useme sjui nikwanin hawajavaa. Utakua kichekesho had kesho
Kipimo cha IQ kinaanzia kwa anaye waongoza. Haina haja yakubishana sana ukweli ndo huo. Siku zote tunaamini kiongoz ndo mwenye maamuzi yote yataifa. So kama ye ndo anamaamuzi yote yataifa maana yake ni mtu timamu na mwenye kujielewa.
Sasa ikiwa nyie ni simba mkaongozwa na kondoo tunaamini wote...
Mtu bussy sana masaa yote sipend changanyikeni. Wananiita mwana Hip hop napenda kufanya mambo yapeke yangu japo had kunamuda najishuku ila ndo tabia yangu meshindwa kuibadilisha. Ila mwenye huruma pia kwa watu nnaowajua siwez kujivunga kutoa katu ikiwa ninacho
Kweli vichwa panzi niwengi mjini so vijijini hatushangai. Shule moja tu wazungu wanatamani angezaliwa kwao dah! Labda wazungu vizungumkuti akili maji kama .........
Visingizio ili watu wajiandikishe na ndo inayopeleka watu kwenye kitabu chawapigakura. Je kitambulisho cha moiga kura na kitambulisho cha NIDA kipi bora kwa mambo uliotaja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.