Kampuni ya Mwananchi inayochapisha Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikiaminika kwa kuhabarisha kwa uwazi iko kwenye msukosuko.
Pamoja na kushuka kwa biashara ya habari nchini, hali ya hewa so nzuri Mwananchi. Wafanyakazi wa idara ya matangazo wanasema kwamba...
Hivi majuzi International Monetary Funds (IMF) imetangaza msamaha kwa Tanzania kulipa marejesho yake kwa muda wa mezi sita. Kiasi ni shilling bilioni 30 ikiwa ni jitihada za kutumia mapato hayo kwa ajili ya kupambana na corona ambayo serikali inadai imemalizika.
Lakini badala ya kusema kwamba...
Nimejaribu kuangalia kwenye ripoti mbalimbali za kiserikali (Wizara ya Fedha) na Benki Kuu Ya Tanzania n kugundua kwamba, katika kipindi cha miaka mitano 2015/16- 2019/20 serikali imeshindwa kabisa kujinasua hasa utekelezaji wa bajeti. Ukiangalia ripoti hizo kiwango cha juu cha utekelezaji ni...
Nataka kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki hasa mkoa wa Dodoma. Najua kuna changamoto ya maji lakini naomba ushauri, maji yenye chumvi kidogo yanafaa kufuga samaki.
Nataka kuchimbwa bwana pia, naomba minimum estimates za kutengeneza just a local pond kwa ajili ya samaki (Sato) 1,000 au kambale 500
wapambe wanatupeleka pabaya. Rais kashasema yeye akimaliza anaenda kupumzika Chato, hivi vijumbe ndio vinajifnya kiherehere. Huyu Keissy zi kaingia bungeni zaidi ya miaka 20, kashindwa nini kubadilisha mambo.
Anajifanya yeye ana uchungu na nchi hii wakati ndio walioitafuna. Ngoja kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.