Kama una hasira za karibu unaweza ukapiga ukaua
Mwalimu:kwanini umechelewa kuja shuleni?
Mwanafunzi:kuna mzee alidondosha hela,ndio aliyenichelewesha.
Mwalimu:safi sana,kwahiyo ukawa unamsaidia kutafuta hela yake,wanafunzi wote inabidi muwe na moyo kama wa mwenzenu,inabidi mjitolee kwa wale...