Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
- Thread starter
- #21
Nashkuruni sana kwa ushauri wenu wakuu na nyinyi m take care huko mliko!
Hizi Lugha kweli huwa na uwalakini ndani yake. Ninavyofaham inaweza kuwa lugha ya kukuaga kuwa unakokwenda kuwa mwangalifu..
.Mi nami nakumbuka nlisifiwa sana interviewer akasema you are so smart, You have something in your brain give me your all mobile number and your email...ilikuwa mwezi wa saba mwaka huu mpaka sasa wapo kimya sijapokea email wa simu toka kwao.
Kwenye kutafuta kazi hua ni bahati tu kupata...lakini usiwe unaweka akilini sana interview iliyopita...ni better to count yourself kama umekosa
watakuita tu but take care