hakuna aliyevunja chombo chochote hata glass wala hakuna aliye ingia cafteria,huo ni uzushi. Yalikuwa maandamano ya amani kabisa kushinikiza kulipwa pesa mana hali ni mbaya na hii ni wiki ya tatu tangu tulipostahili kulipwa.
Tuwe wakweli jamani.Serikali tangu 1971 imekuwa na utaratibu wa kushughulikia hayo masuala ya waislam ktk mfumo wa mahakama.Na kama hiyo haitoshi imeshawapa ruhusa ya kuanzisha hz mahakama za kadhi na tayari kadhi mkuu mnaye,sasa huku ktk katiba mnataka nn zaidi? Mnatudanganya et ipate nguvu...
Mm ni mpinzani sana wa chama cha CCM na sera zake lakini kwa hili la Democracy huwa siku zote nampa big up sana JK.
Nakumbuka kauli yake moja alisema "kuishi bila wapinzani wako hupunguza radha ya maisha!" Nashukuru dunia imeliona hilo!
Jamani siasa si uadui, anapostahili mtu kusifiwa, msifu...
Yeee.....ss watoke wanafiki wote chama kibaki na cream.CCM tunaomba muendelee kutusaidia hii kazi njema ya kutuondolea uchafu ktk chama,ongezeni dau kwa wanachumia tumbo watoke wengi zaidi!! Chadema ina watu wengi kuliko mnavyofikiri. Makamanda hii toka toka ni mpango wa Mungu kukisafisha chama...
Hongera mh.Kesy! Umesema ukweli mtupu japo mchungu kwa wengine!! Mm nashangaa kung'ang'ana na huu muungano wa aina hii.Huyo mb.wa Zanz aliyemwambia Kesy asifike Zanz ndiye mwendawazimu! anamamlaka gani ya kumzuia? na yy anatafuta nn huku Tanganyika? Halafu wanajifanya wana jazba sana! Mbona wao...
Hongera Kakobe! kama Tanzania tungekuwa na watumishi jasiri 3 kama wewe upuuzi mwingi uliopo sasa usingekuwepo.Kakobe kaongea vizuri sana huku akinukuu maandiko km kawaida yake.Kwamba mipaka ya kila Taifa ni mpango wa Mungu hata kama imewekwa na wakoloni.Kwamba kila Taifa limepewa urithi wake...
Sishangai,viongozi wetu wengi wa dini wa cku hz ni wanafiki sana,hata kama ukweli wanaujua.Ni hawa walisema JK ni chaguo la Mungu then baadae wakaanza kumlaumu ktk mambo kadha wa kadha! Nawakubali sana baadhi yao ambao ni jasiri na wasiopenda kujipendekeza kwa watawala mfano Kakobe.Leo ktk ibada...
Naunga mkono serikali 3,lakini mleta mada ni mchochezi asiyeitakia mema nchi yetu.Ushindwe na ulegee,kwamba katiba mpya inapatikana au haipatikani TZ itaendelea kuwa na amani.Mungu ibariki TZ.
Anachofanya ni mchezo wa kuigiza kuwahadaa wananchi wahisi wana watetezi kumbe wapi! Ujinga ni mtaji mkubwa sana wa CCM but oneday wananchi wa mashambani watashtuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.