Naomba kufahamishwa anaejua hawa watu wanakuja inbox whatsap na kukuomba usave namba zao kwa kutazama status na mengneyo, leo nimetumiwa ujumbe na watu wawili tofauti ni wapi wamepata namba zangu na ni nini plan zao??
Na ndio Maana ya Huduma ya kwanza Mkuu, pia hapa hakuna wapumbavu au wajinga Kama unavofikiri, pia hao hao utakaowakuta hospital wengine Ndio Watatupatia Huduma ya Kwanza Hapa kabla ya Kyle, Nafikiri inakua n Bora zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JF habari zenu,
nimeamka asubuhi nimejikuta na hii hali kidaka tonge kimeongezeka urefu mpaka muda mwingine kinakuja nigusa katika ulimi. Anayefahamu hili naomba kupatiwa muongozo na msaada wa matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.