Recent content by Mpwidu

  1. Mpwidu

    Ni nini hiki?.

    Asante sana, je namba ya muhusika kama mimi hapo wameipata wapi?
  2. Mpwidu

    Ni nini hiki?.

    Naomba kufahamishwa anaejua hawa watu wanakuja inbox whatsap na kukuomba usave namba zao kwa kutazama status na mengneyo, leo nimetumiwa ujumbe na watu wawili tofauti ni wapi wamepata namba zangu na ni nini plan zao??
  3. Mpwidu

    Naombeni msaada

    Nashukuru kwa Plan B Mkuu, Moro sehemu gani anapatikana na anafahamika kwa jinagani? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mpwidu

    Naombeni msaada

    Na ndio Maana ya Huduma ya kwanza Mkuu, pia hapa hakuna wapumbavu au wajinga Kama unavofikiri, pia hao hao utakaowakuta hospital wengine Ndio Watatupatia Huduma ya Kwanza Hapa kabla ya Kyle, Nafikiri inakua n Bora zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mpwidu

    Naombeni msaada

    Hakuna Maumivu hata Muwasho Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mpwidu

    Naombeni msaada

    JF habari zenu, nimeamka asubuhi nimejikuta na hii hali kidaka tonge kimeongezeka urefu mpaka muda mwingine kinakuja nigusa katika ulimi. Anayefahamu hili naomba kupatiwa muongozo na msaada wa matibabu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mpwidu

    Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

    Uyu manzi alinijambia hapa akiwa kalala hapo kwa mitego ananisubiri nimpe dozi.
  8. Mpwidu

    Naombeni Msaada

    Asante Mkuu nikauliza Tena je itahitaji Apple ID Mpya au
  9. Mpwidu

    Naombeni Msaada

    Naombeni Msaada Wandugu.
  10. Mpwidu

    Naombeni Msaada

    Mkuu Asante Sana ika baada ya ilo zoezi itahitajika kungiza Apple ID Upya au?
Back
Top Bottom