Recent content by MPUNGA MMOJA

  1. MPUNGA MMOJA

    Waziri Bashe sasa ndiyo ananza kuifahamu wizara yake

    Serikali leo imetangaza kusitisha kutoa vibali vya MAHINDI kwa wafanyabiashara kupeleka KENYA sababu kubwa ni upungufu wa CHAKULA nchini na tumeshachelewa. Mavuno ya Tanzania ni July na muda wa mzunguko wa biashara ni July ~August, hapa mazao huwa bei chee kote, wafanyabiashara wakubwa hutumia...
  2. MPUNGA MMOJA

    Nia njema ya mbolea za ruzuku inaweza kuwa anguko kwa Waziri Bashe

    Waziri Bashe alitangaza nia ya Serikali kupitia Wizara ya Kilimo juu ya UKOMBOZI wa wakuliwa kupewa mbolea za RUZUKU. LENGO lilikua zuri changamoto kubwa ipo katika mambo mawili. 1.Usajili wa wakulima~ hapa ndio makosa makubwa yalipo na yatakwamisha hili zoezi,Mikoa mingi hasa ya Kilimo...
  3. MPUNGA MMOJA

    Mradi wenye thamani zaidi Tanzania, wa LNG wa Tzs trilioni 70 kuanza wiki zijazo

    Hasa we hata kiswahili tu umeshindwa kukielewa iyo English si janga kwako,Soma uelewe hizo wiki zijazo ni katika kufikia majadiliano ya utekelezaji
  4. MPUNGA MMOJA

    Mradi wenye thamani zaidi Tanzania, wa LNG wa Tzs trilioni 70 kuanza wiki zijazo

    Leo yamefanyika Majadiliano kati ya Serikali ikiongozwa na Waziri Makamba na Makampuni ya Shell, Equinor, Pavillion, ExxonMobil na Ophir kuhusu mradi wa gesi (LNG) Lindi wa TZS trilioni 70 - utakaobadilisha taswira ya uchumi wetu. Wiki zijazo, mradi huu utatoa fursa Kubwa ya ajira kuliko mradi...
  5. MPUNGA MMOJA

    Top 10 biggest banks in Tanzania by assets

    Hakuna faida kuweka ela bank hsa kma kipato chako ni chini ya dola 500 kwa mwaka
  6. MPUNGA MMOJA

    Top 10 biggest banks in Tanzania by assets

    (shillings) [emoji910] NMB 8.18 trillion [emoji910] CRDB 8.13 trillion [emoji910] Stanchart 2.4 trillion [emoji910] NBC 2.1 trillion [emoji910] Stanbic 1.9 trillion [emoji910] DTB 1.3 trillion [emoji910] Exim 1.2 trillion [emoji910] TCB 1.1 trillion [emoji910] Absa 974bn [emoji910]...
  7. MPUNGA MMOJA

    Mbeya: Mwekezaji wa Kapunga Rice avunja daraja lililojengwa kwa nguvu za wananchi

    Kbsaa yan na umuhim wa hili daraja ni zaidi ya uhai wao
  8. MPUNGA MMOJA

    Mbeya: Mwekezaji wa Kapunga Rice avunja daraja lililojengwa kwa nguvu za wananchi

    Kampuni inaitwa Kapunga Rice na inafahamika sana tu
  9. MPUNGA MMOJA

    Mbeya: Mwekezaji wa Kapunga Rice avunja daraja lililojengwa kwa nguvu za wananchi

    Mwekezaji wa Kapunga Rice Project Wilayani MBARALI Mkoa wa Mbeya amebomoa daraja lililojengwa kwa fedha za michango ya wananchi akidai wanamuibia, Wananchi hawawezi tena kwenda katika shughuli zao maana ndio kiunganishi kikubwa. Hii si mara ya kwanza Hivi vituko na Manyanyaso hayajaanza leo Ndg...
  10. MPUNGA MMOJA

    TESLA yafikisha thamani ya dola trilioni 1

    Tesla imeungana na Apple, Amazon, Google, Facebook na Microsoft kuwa na historia ya kufikisha thamani dola ya Tril 1. Apple ilikuwa kampuni ya kwanza kufikisha thamani ya dola Trillioni 1 mwaka 2018. Tesla imepanda thamani baada ya kupata dili la kuuza magari 100,000 kwa kampuni ya Hertz.
  11. MPUNGA MMOJA

    EWURA yasitisha bei mpya za mafuta

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kusitishwa kwa bei mpya za mafuta zilizotangazwa jana ambazo zilipaswa kuanza kutumika leo tarehe 1 Septemba. Serikali imeelekeza bei za mafuta za mwezi uliopita kuendelea kutumika. ====== Serikali imeelekeza EWURA kusitisha...
  12. MPUNGA MMOJA

    TANZIA Mwalimu Alex Kashasha, mchambuzi nguli wa Soka afariki dunia

    Tanzia: Mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
  13. MPUNGA MMOJA

    Kodi ya majengo kuanza kukatwa kwenye Luku kuanzia Agosti 20, 2021. Je, Serikali imekosa Dira, mbinu zimewaishia?

    Serikali itaanza kukusanya kodi ya majengo kwa kupitia ununuzi wa umeme kuanzia Agosti 20, 2021. Kila mnunuzi atakatwa TZS 1,000 kwa mwezi kwa nyumba ya kawaida na TZS 5,000 kwa mwezi kwa kila sakafu ya ghorofa. Kwa wanaotumia mita za ankara watalipa katika ankara za mwezi. --- Wakati...
  14. MPUNGA MMOJA

    Rais Samia: Chuma kimepanda bei duniani, lazima mazungumzo na wawekezaji yaanze haraka

    “Kuhusu Mchuchuma na Liganga nimeshatoa maelekezo, Serikali inaendelea na mazungumzo na Wawekezaji kuona tatizo ni nini!, Serikali inaweza kujitoa hadi wapi Mwekezaji ajitoe hadi wapi na kwa sasa Duniani chuma imepanda bei ni wakati wa kuharakisha mradi ufanye kazi” - Rais Samia Suluhu Hassan...
Back
Top Bottom