Recent content by Mponjoli Njenga

  1. Mponjoli Njenga

    Ibambangulu, nabii mtenda miujiza aliyetabiri kuzaliwa kwa Mwl Nyerere

    Unajua habari ya hapa , watu wengi wanafia dini bila kujua kwamba Biblia au Quran haziongelei dini. Kwa mtu aliyesoma biblia na akaielewa sawa sawa japo kwa asilimia hata 40 hawezi kwenda kanisani kurukaruka kama mtu aliyepagawa ati anacheza kwa jina la Yesu! Kumbuka waliomuua Yesu ni watu wa...
  2. Mponjoli Njenga

    Ibambangulu, nabii mtenda miujiza aliyetabiri kuzaliwa kwa Mwl Nyerere

    Kwani yule njiwa aliyeshuka kwa Yohana Mbatizaji alikuwa "njiwa tu"? Ile ilikuwa roho. Kwa hiyo hata huyo kuku mchukulie kama representation ya roho. Inawezekana Nabii alizidisha kujitukuza akamuudhi Mungu. Na hapo ndipo roho kwa njia ya kuku alikuja kumuua.
  3. Mponjoli Njenga

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Siku ukipatwa na disaster, hutaandika hivi. Utakuwa unalia mpaka makamasi yanakutoka. Usijitoe ufahamu kwa ajili ya upambe....
  4. Mponjoli Njenga

    Makala ya kiuchunguzi kuhusu 'Sakata la Dkt Mwele Malecela' na ZIKA

    Alifukuzwa usiku, asubuhi akateuliwa mrithi wake. Ni wazi alikuwa targeted, na hata asingetangaza utafiti huo angeondolewa by any means! Na ndiyo maana mbadala wake alikuwa tayari anasubiri siku ifike.
  5. Mponjoli Njenga

    Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

    Toka ageuke msimamo wake juu ya katiba mpya nilimtoa kwenye watu wa maana. Na alikuwa mpiga debe wa Huyu Bwana sana tu! Leo anaona ananyemelewa anaanza kujihami. Akae kimya!
  6. Mponjoli Njenga

    Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

    Du huyu msanii atakaacha haka kakuku ka kienyeji kweli? #free maxencemelo
  7. Mponjoli Njenga

    Wasifu wa Msajili mpya wa Hazina, Dr. Oswald Mashindano

    Kwa hiyo a theorist and academician anapewa kazi zinazohitaji reality....tusubiri tuone!
  8. Mponjoli Njenga

    Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.

    Kama ni mzuri hivyo, si afungue kampuni yake? Acheni kupiga madebe tupu!!!
  9. Mponjoli Njenga

    Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

    Mkuu mbona mapovu. Inajulikana ikiwa na ujumbe gani? Unaona kabisa aliyeleta post ndo hapendi hayo aliyoandika Mange, but still anayapost huku, sasa kati yake na Mange nani anaeneza hii habari? Na kama kueneza hii habari ni kosa, si ndiyo maana nasema yeye na Mange wote wana makosa? Kama mie...
  10. Mponjoli Njenga

    Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

    Anonymous , si kila mtu anatemblea account ya Mange Kimambi. Hivyo impact yake ni ndogo kwa jamii. Ila kwa wewe kuileta huku , umeitangaza habari hii kwa wengi zaidi kuliko Mange Kimambi. Je na wewe tukuchukulie hatua gani?
  11. Mponjoli Njenga

    Gwiji la uchumi kutoka Tanzania, Prof Lipumba, amepata mwaliko wa kikazi huko Geneva kwa miezi 9

    Afadhali, maana amedhalilika vya kutosha. Yaani Professor wa uchumi anatumwa na kina Naape atumike kuumiza CUF kwa malipo ya kulala Ofisini? Mungu amewaona CCM, ameona amnusuru na majanga zaidi! Kila la Kheri ProPesa!!!
  12. Mponjoli Njenga

    Burundi president's aide survives attack, guard killed

    Siyo Raisi wa Burundi ...ni Mshauri wa Raisi wa Burundi...
  13. Mponjoli Njenga

    Wataalam wa Uchumi tuambieni: Hali hii ni Recession au Austerity?

    Mkuu, Ngosha naona amekutupilia mbali . Upo jikoni kama zamani kweli?
  14. Mponjoli Njenga

    Rais Magufuli amteua RAS wa Kagera, Jaji Warioba aukwaa Ukuu wa Chuo SUA

    Halafu vyuo vikuu nani afundishe? Kazi kweli kweli
Back
Top Bottom