Recent content by mpolekabisa

  1. M

    Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara Nyeti 2025 na Mgombea Urais 2030

    Makonda ni presidential material!!
  2. M

    Tanzania yakopa Tsh. Bilioni 32 Kutoka Saudi Arabia wakati wezi wakiiba mabilioni

    Ni aibu sana kwa nchi kukopa visenti kidogo hivyo!! Ni kama Matonya yuko kwenye omba omba!!
  3. M

    Makonda ni nani hasa kwenye Siasa za Tanzania? Kwanini nguvu kubwa inatumika kumrejesha ulingoni?

    Watu washajua nyuma ya Makonda kuna nguvu kubwa sana ya Chama na Dola!! Ukileta jeuri utakula jeuri yako!! Ya nini yote hayo? Watanzania wana akili sana, wanasema mtumikie kafiri upate mradi wako! Mwulize Nape Nauye yaliyompata baada ya kujifanya jeuri na kuamua kupambana na Makonda!! Ujue...
  4. M

    Kagera: Paul Makonda ampa miezi 3 Waziri wa TAMISEMI kuhakikisha soko na stendi vinaanza kujengwa Bukoba

    Haya MAIGIZO (wala siyo MAAGIZO) ni raha sana!! Soko na Stendi zianze kujengwa baada ya miezi mitatu bila kujali kama zipo kwe bajeti aui la!!
  5. M

    Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

    Inanikumbusha enzi za mzee Dau huko NSSF!!! Ila mama yuko vizuri, anarekebisha kasoro mdogo mdogo!!
  6. M

    Muda si mrefu Simba itarudi kwenye class yake. Form is temporary, but class is permanent

    Asante kwa kujitoa ufahamu!! Unafikiri walikosea walioiweka Simba miongoni mwa timu bora 8 kushiriki mashindano ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE? Simba ni TOP CLASS!!
  7. M

    Inabidi mtu awe mpumbavu kushawishika na kusema kuwa hakuna Mungu!

    Biblia inasema kwenye Zaburi 24:1. "Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu .........". Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni...
  8. M

    Tuiombee nchi ya Israel: Haikanushiki kuwa Israel ni Taifa teule la Mungu. Hii haina maana kuwa Waisrael wote hawana makosa, tuwaombee

    Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu!! Honestly, it takes a fool to believe that there is no God!! To be convinced that all what we see and don't see they just happened to be there!! All the elaborate living systems and non living systems although they are very complex, however they lack...
  9. M

    Muda si mrefu Simba itarudi kwenye class yake. Form is temporary, but class is permanent

    Simba ni TOP CLASS! ni bahati mbaya tu TEMPORARILY wapo kwenye LOW FORM! Wanaoujua mpira wanafahamu kuwa class is permanent but form is temporary. Ni suala la muda mfupi tu uto watakimbiana!
  10. M

    Yanga wako OVERATED, kisa eti kumfunga Simba!! Coastal kathibitisha hivyo jana

    Yanga mbona wanajua kufungwa nyingi si ajabu, wanajitoa ufahamu tu!! Washafungwa nyingi mara nyingi japo wanajifanya hawajui!!
  11. M

    Hivi, kuna umuhimu wa kikosi Cha Simba kwenda kuweka Kambi Uturuki kujiandaa na msimu mpya?

    Mawazo ya kimaskini utayajua tu!! Ni sawa na maneno ya mke wa maskini anayemwonea wivu jirani yake kwa kupelekwa na mumewe outing Dubai mapumzikoni na kudai kuna umuhimu gani wa kwenda kupumzikia Dubai, ni afadhali mume wangu huwa ananitoa kigamboni kwenda kuona daraja na kurudi zetu Tandale!!
  12. M

    Yanga wako OVERATED, kisa eti kumfunga Simba!! Coastal kathibitisha hivyo jana

    Kufanikiwa kuifunga Simba goli 5 imefanya yanga kuwa overated. Jana Coastal union waliliona hilo wakakomaa na uto kuponea chupu chupu!!
Back
Top Bottom