Alikwambia nani kuwa mwanamke akiwa mzuri kimuonekano ndo anatosha kuwa mke au ndo ndoto ya kila mwanaume. Fanya uchunguzi kwanini wanwawkecwengi walioolewa wako kawaida na sio wazuri kimuonekano kutokana na tabia zoao nzuri, kwanza mwanamke akijiona mzuri sana kudumu kwenye ndoa ni ngumu sana...
Sema wabongo tunapenda sana kutumia madalaki mzee hiyo million 11 si mtaji kabisa unawexa kujiajiri. Unainekana unazo dada unatoa hela zote hizo na umepigwa tayari
Kwahiyo waliofanya hayo kwani si wanajulikana na nani alikuwa amri mkuu wa wale matukio mzee au ulikuwa unamaanisha kitu gani? Au kina nani wachuk huliwe hatua
Nakumbuka nikiwa bado mdogo kipindi hicho tunaishi Morogoro huko wilaya ya Kilombero, tulikuwa tunaishi mimi, mimi yangu mzazi na mama yangu mdogo na mama yangu pia alikuwa na wadogo zangu walikuwa bado wadogo na walikuwa mapacha.
Siku moja tumelala usiku kuna mtu akaja kuchoma nyumba maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.