Inawezekana wamepotosha kweli.Kuna picha inamwonyesha polisi aliyebeba kibag kama cha mtoto wa chekechea anaweza asiwe polisi wa Tanzania na kwenye tukio zito kama lile yuko kidhaifu vile.Litakuwa ni tukio lingine.
Naomba mnisaidie yasije yakanikuta. Niko mikoani miaka mingi nataka kuja Dar wiki ijayo. Hayo ya kichura yako upande upi? Ni barabara ya kule baharini au hii ya kutokea wizara ya elimu kuelekea Ocean Rd hospital?
Kama hivyo ndivyo basi nina wasiwasi zoezi la uandikishwaji wapigakura halitakuwa sawasawa.Kuna mawili ama watu wengi hawataandikishwa kwa hiyo hawataweza kupiga kura ama mwishoni kabisa watakuja na mbinu ya zima moto ambayo nahisi bado ni siri yao.Mkoa mmoja umekula mwezi na kitu mikoa...
Nia kuu inapashwa kuwa ni kumuondoa kwanza common enemy.Na kufanya hivyo lazima sacrifice ziwepo hazikwepeki.Kuyaweza hayo ni kukubaliana kama vyama tajwa vyote vinakubalika hapo,chama kimojawapo kiachiwe kiti cha ubunge kinachobaki kiachiwe viti vya udiwani.Tatizo litakuwa limeisha.
Njia hii imetumika kitambo.Wanachofanya nikuingilia line ya mtu.Wao ndio wanakuwa na mawasiliano ya line hiyo kama alivyosema mmojawetu hapo juu.By the way as amatter of education, dada yako hakuwa na line au simu nyingine maana si rahisi wakazima line zote za mtu kwa wakati mmoja au?
Nadhani huyo mama hajui anachoongea na hili indio tatizo la kutojipanga kabla ya kusema.Nadhani angesema chama chake kitapeleka malalamiko yake kwa wananchi waamue tena juu ya muundohuo.Chama kimojawapo hakiwezi kuvunja muundo huo bila kuwashirikisha wananchi wote.Viongozi wengine bure kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.