Mkuu Invisible, kwa hii kasumba ya "huu ni upepo utapita" nadhani serikali hii sikivu, itasikiliza tu na yatapita. Kwani mpaka sasa tumeona mengi ya ushahidi wa wazi wa akina Chenge lakini serikali ni sikivu tu, inasikiliza na yanapita.
Hoja ya Lissu imejaa siasa bila uhalisia. Atuambie kama yeye anajua hicho kiingereza. Kusema sheria ifundishwe kwa kiswahili ni vichekesho kwani mfumo unaofuatwa ni wa COMMON LAW. Hivyo itakuwa ngumu kama Tanzania itatumia kiswahili, ina maana hatuwezi hata kupeleka wanafunzi wetu hata katika...
Anachonikera huyu ZZK anajua sana kunyooshea watu vidole. Huyu jamaa mwenyewe maisha anayoishi na magari anayotembelea hayaendani na kipato chake. Amejaa usanii zaidi na kutaka sifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.