Recent content by Mpiga Paspoti

  1. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha mabasi ya "No Challenge" kuitwa "Tashriff"

    Kazi ipo!! Hii nayo ni ushirikina au uzembe wa bwana dere??
  2. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mafia ina watu wachoyo na wabinafsi kuliko maeneo mengine

    Mbona Mafia nimekaa hapo sijanyimwa kitu!? Nimetoka Moshi mji wa kwanza Mafia Kilindoni, nimekaa vyema sana labda kama ulikuwa na behaviours zako tofauti. Kuna watumishi wa NMB hapo, wamekaa vizuri sana, waalimu kutoka sehemu tofauti. Why wewe useme ulinyimwa?? Kwamba unataka kununua kuku mtu...
  3. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mafia ina watu wachoyo na wabinafsi kuliko maeneo mengine

    Kwangu mie nilichokiona Mafia haya yote yanatokana na ukosefu wa miundombinu ya kuleta maendeleo! Usafiri wa uhakika ni ndege tu, meli ipo ila mbovu mbovu. Panapokuwa na maendeleo ni lazima mambo yabadilike, sehemu zote ukienda ambazo hazina maendeleo hali huwa ni kama hivi. Wanakuwa na dhana...
  4. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wako akikwambia ana pumu usilazimishe aje ghetto. Ona kilicho tokea kwa demu huyu ( Rest In Peace)

    Nilihisi nimekosea mkuu japo sikuwa na hakika. Thanks sana
  5. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wako akikwambia ana pumu usilazimishe aje ghetto. Ona kilicho tokea kwa demu huyu ( Rest In Peace)

    Yaah!! Tuliendelea, alikuwa binti mmoja mzuri sana na amesheheni nidhamu ya hali ya juu. Mungu mwema cells zilijiunga akapona japo aliolewa na washikadau wengine lakini tunawasiliana vyema sana na kwa heshima kuu!
  6. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wako akikwambia ana pumu usilazimishe aje ghetto. Ona kilicho tokea kwa demu huyu ( Rest In Peace)

    Kuna pumu na "circle cell" kuwa makini unapokuwa na mahusiano ya watu wenye haya matatizo. Demu alisafiri toka Tanga kuja Mbeya then circle cell ikamzidia baada tu ya kufika gheto! Sikufanikiwa hata kuenjoy nae, zile to and fro za hospitali usiku wa manane mara mbili tatu, zilinifunza kitu...
  7. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Sifa 10 mabasi mapya ya shabiby, Dar-Tanga

    Kama ni Lindi na Mtwara, barabara ni mbovu sana hiyo!! Hasara
  8. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Apata kipigo kwa kufanya masturbation(kujichua)

    Myetukaji hoyeeee....!! ✊️ ✊️ ✊️
  9. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini wanaume wa bongo bado wanapenda sana kuabudiwa na wanawake?

    Kuna tofauti ya kuabudiwa na kuheshimiwa!! Anayeabudiwa ni Mungu pekee!! Tatizo vijana mnajifunza dini, mnazijua dini kuzifuata hamtaki!! Dini zote zinatamka mwanamke ataolewa, atakwenda kuishi kwa mumewe na atakuwa chini ya himaya ya mumewe kwa kutii na kuheshimu matakwa ya mumewe!! Maandiko...
  10. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Makundi yanayoongoza kwa ubaguzi na chuki dhidi ya watu weusi

    Waafrica ndiyo wabaguzi kuliko hao wote!! Kinachokosekana kwa Mwafrica ni ambague nani kwa kigezo kipi?? Tunakosa vingine vyooote tumerudi kwenye ukabila, ukanda na udini!! Angalia threads zinazoanzishwa kukashifu makabila na dini za wengine!! Wiki iliyopita kulikuwa na futari imeandaliwa na...
  11. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amekuwa akizungumza kauli zenye utata na dharau, ni namana gani naweza kuvunja ndoa?

    Oyaaah!! Hapo dawa ni kuwa mwanaume!! Kama ulikuwa unampa maisha ya tamthilia za Kifilipino, acha!! Kuwa mwanaume wa kiafrika!! Kauli moja jambo litekelezeke!! Fanya mambo bila kumshirikisha!! Muondoe kabisa kwenye mipango yako shirikisha watoto kama una watoto wakubwa kidogo!! Atajirudi, hapo...
  12. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimepiga Debut na nimerealize kuna vitu ni Unkwepeable

    Hayo mambo siyajui na sitaki hata kuyajua!! Temeke siijui kabisa kabisa
  13. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimepiga Debut na nimerealize kuna vitu ni Unkwepeable

    Kwa maandishi haya, leo nimehisi ambavyo hujalifurahia tendo la jamaa!!
  14. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Kuabudu Jiwe Jeusi pale Mecca, Saudi Arabia ni kama kuabudu sanamu

    Mada za kuchokonoa chokonoa udini zimekuwa ni nyingi sana siku za karibuni!! Kuna kaubaguzi ka kidini kanamea au kanajengwa miongoni mwa Watanzania na hili si jambo jema kabisa!!! Anyway! Wakati mwingine inabidi tukubaliane na ukweli kuwa; Yote haya yanakuja ikiwa ni matokeo ya kupanuka kwa...
  15. Mpiga Paspoti

    JamiiForums Tanzania Vimbwanga vya kuku wa kienyeji

    Tulikuwa na jogoo mkubwa sana aina ya kuchi!! Sababu tulimpata Kikatiti tulimpa jina "Akwii" . Alikuwa ukimwita anasikia jina lake na anakuja!! Alikuwa anatusindikiza dukani kama mbwa!! Huyu jogoo alikuwa mlinzi, akiingia mgeni alikuwa anamkimbiza. Alikuwa anaua kuku wengine wa mtaani hususan...
Back
Top Bottom