Nimeumizwa mno na kitendo hichi cha kukamatwa mwenyekiti wa chadema,hakika jeshi la polisi linatumika vibaya...Watanzania tuache uoga na tuweke njaa pembeni tukafanye maamzi sahihi uchaguzi mkuu.Mimi siyo shabiki wa vyama vya siasa ila #CCM siyo sehemu sahihi
Mimi ni wakala na nasajili laini, lakini kitu watu wengi hawatambui ni kwamba hauwezi kusajili laini mbili kwa wakati mmoja hasa kwa mtandao ule ule kwani inakudai usubiri dakika 30 ndo upate kusajili laini nyingine.
Kwa hoja ya kusema kwamba mteja kuweka kidole mara moja hiyo ni sawa lakini...
Kwanza tu Kumpongeza mpinzani ni ishara ya ukomavu na ujasiri,kwani Mh.Mbowe umethibitisha kwamba ushindi wa mpinzani wako Mh.Tundu Lissu haujashindwa, bali unapaswa kutambuliwa na kuthaminiwa.Hongera sana
Itategemeana na msimamo wake yeye kama yeye, endapo akakosa msimamo basi tegemea kama unavyofikiria.
Pia itatategemea na sapoti utakayokuwa unampatia pindi akiwa chuo hasa sapoti ya kifedha kwani pesa isipomtosha lazima ataliwa vibaya mno😂
Mwisho,ni vema kama utampatia elimu kuhusu maisha ya...
Itategemeana na msimamo wake mwenyewe,kama hatokuwa na msimamo tegemea hivyo unavyofikiria.
Lakini pia itategemeana na sapoti yako kwake hasa kifedha na Elimu kuhusu maisha ya chuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.