Recent content by Mpepetaji

  1. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Kituo cha Afya Mbezi kiboreshe huduma, kuna kompyuta moja tu, huduma zipo slow sana

    Mimi ni mdau wa afya ila kitu kinanikwaza kutoka Kituo cha Afya Mbezi, kituo hakina kompyuta za kutosha, vyumba vitatu vya madaktari chenye kompyuta nzima ni kimoja tu. Tupo hapa tumelundikana kusubiri huduma uongozi hata hautoi mwafaka wanapitapita tu, kuna daktari mmoja, wengine wanazunguka...
  2. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Katazua taharuki
  3. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Anataka umuoneshe mfereji maringo ;)
  4. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Palikuwa na shida gani hapo mferejini?
  5. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Ushimen amemaliza[/USER]
  6. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Ni vema tukaelekezana kwa vitendo
  7. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Mfereji maringo, ule wa kingo laini wasafishwa kwa Ulimi

    Yafurahisha hisia, kwa mfereji maringo. Kurambwa hadi safia, mrembo wenye mpango. Maji yaweza pitia, ndani ya fumbo kiungo. Mfereji majinono, wasafiwa kwa ulimi. Mfereji wa heshima, ule wa kingo laini. Maji yake ya uzima, hayakauki juani. Huleta nyingi hekima, maji yenye burudani. Warambwa si...
  8. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutapeliwa unapotafuta Ajira?

    Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika kuibiwa pesa zao katika harakati za kutafuta ajira. Kutokana na uhaba wa ajira mtu anakuwa tayari kutoa chochote ili apate kazi jambo ambalo baazi ya wahuni mtandaoni wanachulia kama fursa ya kuibia watu. Sasa ni jinsi ya Kubaini Tangazo la Kazi la...
  9. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Messi na Ronaldo wamekutana na kucheza pamoja kama video hii

    Ndiyo, video inaonekana kuwa halisi lakini ukweli ni hakuna tukio kama hilo la hawa jamaa, halijaripotiwa na vyanzo vya kuaminika.
  10. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha inayodaiwa kuwa ni ya tukio la moto huko Nebraska Imetengenezwa kwa Akili Unde

    Rangi ya moshi lakini pia moto unawezaje kukatiza kwenye lami na kuhamia eneo la pili?
  11. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Magari yakibebwa na mafuriko huko Nairobi

    Kwa picha zilizopo mtandaoni muonekano wa mazingira karibu na jengo la Odeon haufanani na kwenye video ya mafuriko.
  12. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha hii hii imepigwa nchini Burundi

    Baada ya kureverse inaonekana ni barabara inayoelekea jijini Bujumbura Burundi
  13. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Mgomo wa wanafunzi Mbeya wameamua kufanya haya, je ni picha ya kweli?

    Hii inaweza kuwa imehaririwa kwa AI, kwa uzoefu wangu wa maisha ya shule za bweni hakuna anayepewa ugali wa size hiyo labda awe special case
  14. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha ya uyoga unaosadikika kuwa na sumu

    Hii ni aina ya uyoga ambao tulikatazwa sana kuula kwa kuhofia kuwa na sumu
Back
Top Bottom