Unaongea kwa kutumia marasa au? Mtu anaongelea habari za msingi unaanza kuingiza akili za ko za Lumumba. Wewe unafikiri Bashe ni mpuuzi mpaka aongee kuhusu hizo ishu za kutekwa, au kwa mawazo yako usalama wa Taifa hawafahamiki. Ipo siku watu watawachoka wapuuzi kama nyinyi
2010 Chadema ilipata wabunge 23 tu, na mwaka huu wamepata wabunge 35, ikiwa ni ongezeko la wabunge 12 zaidi, acha majimbo ambayo Chadema wamepoteza. We ni mboga mboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.