Jamani hii sembe ndio inawatesa hivi turuhusu bas kwenye hii katiba mpya iwe biasharA ya nchi...cuz mnapambana tatizo ndo linaongezeka labda tukiruhusu litapungua
Dah....kwenye nchi hihi au nyingine? Ila sishangai tumia fursa twenzetu viongoz wetu c makini xana ndomana madawa ya kulevya ni biashara halali ilipiwe kodi basi hata mwalimu akifufuka asimlaumu mgimwa kua hakusanyi kodi
Hakuna udini wala ukabila kwenye nchi hii bali janja ya ccm pale mambo yanpokua magumu ndo inatumia hivyo vitisho...mtanzania huyu ninayemjua mimi hapendi vurugu mpe milo mitatu hata kwenye maandamano huez muona
Nakuunga mkono sana kwani historia inaonyesha mawaziri wa mambo ya nje ndo hua marais..nasikitika sana na chadema yngu nilikua naambiwa siasa mchezo mchafu sasa nimeamini hata ccm wanavyosema watatawala milele naamini hakuna upinzan tanzania....PAC imeizika chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.