Kumbe Mkosamali alikuwa sahihi, watanzania yabidi tupimwe IQ zetu. Yaani mtu kaja kaandika wala hujajisumbua kuthibitisha tayari umeshayafanyia maamuzi maandiko yake? Ni makosa haya haya tuliyafanya 2005 tulipoaminishwa kuwa Salim ana ndugu zake jeshi la Oman na picha za makaburi ya wazazi wake...
Too low!
Hivi mbona baba yako haropoki namna hii? Kwa jinsi unavyozidi kujibujibu kila hoja ndio unatufunulia uwezo wako wa kufikiri. Hata kuedit tu unachoandika ni tatizo kwako achilia mbali kutoa hoja zenye mashiko, kuna mchangiaji amekukumbusha ujibu maswali saba ya mh. Warioba wala...
Nonsense at higher magnitude!!!!!!
Hili jambo ni serious, usiokoteokote vijimaneno visivyo na mashiko kujaribu kujustify kwa issue kama hii. Nenda kasome vizuri kwanini alisema haitatawalika.
Natamani wewe ungekuwa mhanga wa hilo bomu uwe umepoteza ndugu kama ungekuja na huu upuuzi.
Naomba nitofautiane na wewe katika hili. Ni kweli mkurugenzi mkuu ana ofisi dar es salaam lakini sio kweli anakuja na kuondoka daily. Normally akija anakaa few days then anarudi Dar. Sometimes anakaa hata wiki 2 bila kuja Tanga.
Sikushangai kwani ndio sababu hujawahi kulike chochote kinachojadiliwa humu JF.
Tuna safari ndefu sana kufikia amani, utulivu na maelewano huko Zanzibar.
kweli kabisa unaamini wakristo ndio wahusika wa hizo vurugu huko? Andiko lako linafunga mwaka kivingine mkuu!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.